Nisome vitabu gani vya coding? Nahitaji kujifunza kuhusu coding.

Nisome vitabu gani vya coding? Nahitaji kujifunza kuhusu coding.

Hayo madubwana ya if else, else if, end if...nested if...while sijui nini, asee programming ni kama forex tu. Its not for everyone. Muhuni nilikuwa naona nyota tu ila nashukuru shule iliisha.
Nina passion na IT ila tulipofikia hapo nilipiga chafya. Programming inataka moyo maana unaeza usielewe chochote mwanzoni. Nadhani nahitaji mwalimu mzuri ambae tutakaa meza moja anipe concepts na jinsi zinavyo apply kwa kila event unayotaka kui implement twende taratibu sana ili nielewe.
Programming ya kwenye IT mbona rahisi sana, kwanza ile ni basic tu tena inaeleweka vyema. Unasoma C, C++ na Object oriented programming.
Karibu kila mahali zinafanana hizo language, Statements ni zilezile tu.

IT imeelemea kwenye networking na hata programming kidogo utakayojifunza inatumika kwenye networking. Hizo language kwenye IT ukisoma mambo ya server side web programming(PHP) yapo humo ndani. Ukiandika website sehemu ya PHP kuna korokoro za programming.

Effects za kwenye websites kama vile automatic slide shows, lazima uandike Javascript, nayo vitu vilevile ulivyosoma kwenye basic programming unakutana navyo.

Kasome Computer science yenyewe si branch yake(IT), ndipo utakutana na programming yenyewe. Code kuzishika zote unaweza ukawa mwehu.
 
Hivi Computer Science na Computer Engineering ipi unasoma Programming halisi n tofauti ya hizi kozi mbili ni nini?
Programming ya kwenye IT mbona rahisi sana, kwanza ile ni basic tu tena inaeleweka vyema. Unasoma C, C++ na Object oriented programming.
Karibu kila mahali zinafanana hizo language, Statements ni zilezile tu.

IT imeelemea kwenye networking na hata programming kidogo utakayojifunza inatumika kwenye networking. Hizo language kwenye IT ukisoma mambo ya server side web programming(PHP) yapo humo ndani. Ukiandika website sehemu ya PHP kuna korokoro za programming.

Effects za kwenye websites kama vile automatic slide shows, lazima uandike Javascript, nayo vitu vilevile ulivyosoma kwenye basic programming unakutana navyo.

Kasome Computer science yenyewe si branch yake(IT), ndipo utakutana na programming yenyewe. Code kuzishika zote unaweza ukawa mwehu.
 
Hivi Computer Science na Computer Engineering ipi unasoma Programming halisi n tofauti ya hizi kozi mbili ni nini?
Kote programming huikimbii,

Computer engineering ni muunganiko wa Computer science and electrical engineering.

Nadhani hadi hapo utaweza kuzitofautisha
 
Mimi upande wangu nakushauri uanze na Python ni rahisi kumaster kuliko hiyo C++ na ukafanya kazi kubwa sana nayo. Ila pia kama ni for Web development jifunze three Web technology, HTML, CSS na JavaScript pia PHP. JavaScript ni nzuri zaidi kwa sababu sasa ime expand kutoka client to server to embedded device na community kubwa ya developers wanaitumia so ni rahisi kupata msaada. Komaa ni hizo kwanza then utahamia huko C++ na Java ambazo kwa mtu anayeanza simshauri Kuanza nazo.
 
Nna pdf imecover website designing, kama unahitaji ni post
 
Heko kwenu wadau wa CODING.

Nimekuwa nikitafakari mambo yajayo kuhusu maisha nikabaini kuwa lazima niwe na utaalamu au ujuzi kuhusu coding(programming).

Kwa kuwa sijawahi kuisoma elimu hii, ninaomba kwa moyo mweupe wale wadau na wajuzi wa mambo haya, waniwekee hapa vitabu vya kusoma kuhusu coding, tafadhali wekeni vitabu vya kuanzia yaani vitabu vyenye basics of coding na mengineyo.

Hakuna jinsi naweza kukwepa kusoma coding.

Karibuni wadau.
Boss karibu .
ILA UMECHAGUA NJIA YA ULEVI BORA ATA MADAWA YA KULEVYA NI NAFUU.

Utaumia wewee mpaka utaikumbuka hii comment.
Vitab n vigum boss.

Jieleze uko api.tafta mtu alie vizuri katka eneo ulipo akupe mkanda mzima uchague njia nzur.
Humu utachanganyikiwa! Kwann labda. Coz code bwana kila mtu atakupa ushaur kulingana na anavyo penda yeye na analionaje soko zur kwa upande wake.

Then pitia ivo vi website walivo kushaur wadau utajifunza mengi.

Ila jiandae safar ya miaka maana raha ya kukodi kila ukijua kitu unatamani uongeze tu .

Tafta kitu kinaitwa html anza na hiko kisome mengine yote yatakufata na utayajua tu mbele ya safar.

Lakini kama una idea kidgo na code JIFUNZE GENERAL PURPOSE LANGUAGE kama DART

Hii inafanya kila kitu utakacho kitaka kuanzia web desktop android ios na mazaga kibaaao.

Karibu buraza kwenye ulimwengu wa mateja wanao ondesha dunia

Nisikutishe kukodi ni simple.
 
Boss karibu .
ILA UMECHAGUA NJIA YA ULEVI BORA ATA MADAWA YA KULEVYA NI NAFUU.

Utaumia wewee mpaka utaikumbuka hii comment.
Vitab n vigum boss.

Jieleze uko api.tafta mtu alie vizuri katka eneo ulipo akupe mkanda mzima uchague njia nzur.
Humu utachanganyikiwa! Kwann labda. Coz code bwana kila mtu atakupa ushaur kulingana na anavyo penda yeye na analionaje soko zur kwa upande wake.

Then pitia ivo vi website walivo kushaur wadau utajifunza mengi.

Ila jiandae safar ya miaka maana raha ya kukodi kila ukijua kitu unatamani uongeze tu .

Tafta kitu kinaitwa html anza na hiko kisome mengine yote yatakufata na utayajua tu mbele ya safar.

Lakini kama una idea kidgo na code JIFUNZE GENERAL PURPOSE LANGUAGE kama DART

Hii inafanya kila kitu utakacho kitaka kuanzia web desktop android ios na mazaga kibaaao.

Karibu buraza kwenye ulimwengu wa mateja wanao ondesha dunia

Nisikutishe kukodi ni simple.
Mm mwenyewe nimeanzaaa kujifunzaa python..... Taratibu tu na kitabu kinaa page 500+... Sijui lini nitakimalizaa ilaa sikati tamaaa
 
Mm mwenyewe nimeanzaaa kujifunzaa python..... Taratibu tu na kitabu kinaa page 500+... Sijui lini nitakimalizaa ilaa sikati tamaaa
Duh. Jitahid lkn utafika tu.
Ila ungekuwa karbu na mm ngekupa video za python.
Uajifunza leo mpaka kufikia kesho we ni mtaalam wa python.

Python ni simple language but powerfull. Ni ya kusoma siku moja tu.

Then kinachofuata una practise kama one .month syntax zikikukaa vizur unaanza kulearn intermediate way.
Apo unakula lib mpaka ukome, unakula GUI mpka ukome, unakula algorithm mpka ukome.

Now u good 2 go to advanced python. Huku nako n shidar tu.
 
Kote programming huikimbii,

Computer engineering ni muunganiko wa Computer science and electrical engineering.

Nadhani hadi hapo utaweza kuzitofautisha
Mkuu nadhani hukuelewa swali langu mi nilitaka tofauti iliyopo kati ya hizi kozi mbili na ipi ni kubwa zaidi ya nyenzie
 
Duh. Jitahid lkn utafika tu.
Ila ungekuwa karbu na mm ngekupa video za python.
Uajifunza leo mpaka kufikia kesho we ni mtaalam wa python.

Python ni simple language but powerfull. Ni ya kusoma siku moja tu.

Then kinachofuata una practise kama one .month syntax zikikukaa vizur unaanza kulearn intermediate way.
Apo unakula lib mpaka ukome, unakula GUI mpka ukome, unakula algorithm mpka ukome.

Now u good 2 go to advanced python. Huku nako n shidar tu.
Ndugu kunaa njiaa yoyoteee unawezaa kunisaidiaaa kuzipataa...

Kupitiaa email
 
Computer programming language ni:

1-C Language
2-C++
3-Objective C
4-Java
5-Javascript
6-Rubi
7-Python

Nakushauri anza na namba moja, uanze basics zake zote kisha uimalize yenyewe. Ukiweza kuimudu hizo nyingine utajifunza kirahisi
Anza basic ya C programming kwanza
Naona mfumo wa chuo umekuharibu, full kukariri. Mimi ni mkulima na nilijifunza mwenyewe programming bila kwenda chuo!!

Haya mawazo ya kusema mtu aanze na C alafu C++ ni upotezwaji muda... Huu mfumo uache huko huko chuoni kwenu!!

Mleta namshauri kwanza ajiulize anapenda nin au anataka kufanya nn kupitia programming!!

Haiwezekan mtu anataka web development alafu akaanze na C++, this is very wrong!!

Sokoro waito

Mimi nakushauri kwanza jiulize unataka nini... Web development au software dev? Kama ni web development basi anza na html then css then javascript! Hapa utachukua mda ila ukimaliza unaweza soma PHP au Python kama server side languages japo si lazima!!

Kama unataka kuwa software developer basi huwezi ikimbia java kwa amdroid apps!!

Binafsi nilianza kujifunza programming kwa kujifunza java... Sikuanza na c wala c++ maana nilikua specific nataka android app dev...!!

Kazi kwako, nenda youtube utakuta video nyingi za kujifunza... Chakufanya wewe chagua nn unataka then ingia youtube!!
 
Atachaguaje wakati hajui kitu?
Hakuna asuyejua kitu...kama kashaweka lengo nintayari anajua vingi na hata zaidi ya vilivyokwenye vitabu...anacoitaji ni yy kuchagua ni nn kitampa mwanga...
 
Back
Top Bottom