Mwaka huu huu au mwanzoni mwaka kesho ntaanza mkuu nataka angalau hata kidogo tu nijifunze hii kituMuda haukusubiri kumbuka
Mwaka huu huu au mwanzoni mwaka kesho ntaanza mkuu nataka angalau hata kidogo tu nijifunze hii kituMuda haukusubiri kumbuka
ila kusema kwel ukisoma kitabu unajua mambo mengi alaf unafanya vitu kwa kufuata mtiririkoIngia Google tuu. Vitabu vinakatisha tamaa. Ila google itakupa kitu specific unachokita at a time. Ila kitabu kina mambo hadi ambayo huyahitaji
Hayo madubwana ya if else, else if, end if...nested if...while sijui nini, asee programming ni kama forex tu. Its not for everyone. Muhuni nilikuwa naona nyota tu ila nashukuru shule iliisha.pia mimi ningekushauri kuwa ungepata kujua fundamental concepts za language yoyote dunian kwa mfano Variable,arrays , control statement , syntax rules ,pia element of object programming language kwa mfano polymorphism,abstraction,inhertence , encapsulation na zingine
VITABU Vipi ni vizuri kwa hizo lughaComputer programming language ni:
1-C Language
2-C++
3-Objective C
4-Java
5-Javascript
6-Rubi
7-Python
Nakushauri anza na namba moja, uanze basics zake zote kisha uimalize yenyewe. Ukiweza kuimudu hizo nyingine utajifunza kirahisi
sawa mkuu nitakomaa nacho hadi kieleweke tu maana nimeamua niwe na ujuzi wa programming haijalishi ni kwa miaka 3 au 4 ama zaidi.Programming nakushauri anza kwa kusoma programming language achana kwanza scripting kama javascript.
Lugha nzuri ya kuanza ni C/C++, vitabu ambavyo ningekurecommend kuanza navyo ni vile Paul Daitel & Harvey Daite
amcho kinaitwa C How to Program. With an Introduction to C++
View attachment 884821
Ukikielewa hiko kitabu na ukafanya maswali ambayo yapo humo languages zingine kama javascript, java, php unateleza.
programming inahitaji uwe na commitment kuimaster.
sawa mkuuFirstly chagua language moja utakayo on a inafaa...na uikomalie mpaka uwe PRO
nitajie lugha zote kisha nitazifuatilia na kuchagua moja itakayonipendeza zaidi.Lazma achague yeye akiambiwa atakua na uvivu...
sawa mkuu nitatembelea hapo nijipatie maujanjaCODING ni about what you want to do kwanzia python to data structures na pia java so unachagua language unayotaka Kutumia so na suggest tumia website hizi.
Codecademy
Or
Helper22
Visit my new Tech forum on
Techz
asante mkuu nitakomaa nazo tu maana hakuna namna naweza kuepuka kusoma programming /coding, lazima tu niisomeComputer programming language ni:
1-C Language
2-C++
3-Objective C
4-Java
5-Javascript
6-Rubi
7-Python
Nakushauri anza na namba moja, uanze basics zake zote kisha uimalize yenyewe. Ukiweza kuimudu hizo nyingine utajifunza kirahisi
tunatofautiana mkuu, mimi nina ari ya kusoma sana tu, hii nitaisoma bila kwenda chuo chochote maana nimedhamiria kuifahamu(nina mapenzi na mambo haya).Hata mimi hii fani huwa natamani sana kuijua ila kwa sasa nimeshajaa uvivu sana wa kusoma kwa maana ya shule sijui kwa nini
ugha ziko zaidi ya mia 500 ila ukijua basics za programming utaweza kujifunza kwa urahisi na labda nikueleze kitu sio lazima ujue lugha nyingi unaweza kujua 2 au 3 au hata moja na ikawa inatoshanitajie lugha zote kisha nitazifuatilia na kuchagua moja itakayonipendeza zaidi.
sawaugha ziko zaidi ya mia 500 ila ukijua basics za programming utaweza kujifunza kwa urahisi na labda nikueleze kitu sio lazima ujue lugha nyingi unaweza kujua 2 au 3 au hata moja na ikawa inatosha
programming inavitu vichache sana vya muhimu ambavyo ni msingi wa language zote ni kama grama kwenye English language ila sasa tatizo lipo kuziunganisha izo grama kupata sentence sahihi ndo shida ivyo ivyo kweny programming kuunganisha izo else if ,break,continue,loop,na keyword zake hapo ndo panaleta shida sana kwa programmer wengiHayo madubwana ya if else, else if, end if...nested if...while sijui nini, asee programming ni kama forex tu. Its not for everyone. Muhuni nilikuwa naona nyota tu ila nashukuru shule iliisha.
Nina passion na IT ila tulipofikia hapo nilipiga chafya. Programming inataka moyo maana unaeza usielewe chochote mwanzoni. Nadhani nahitaji mwalimu mzuri ambae tutakaa meza moja anipe concepts na jinsi zinavyo apply kwa kila event unayotaka kui implement twende taratibu sana ili nielewe.
lugha zipo nyingi cha msingi lazima ujue ww unataka lugha kwa matumiz yapi kila lugha ina strength na weakness zake kwenye fieldnitajie lugha zote kisha nitazifuatilia na kuchagua moja itakayonipendeza zaidi.
Hapo nimeona jina la mpenzi wangu rubi tu.ndo nilichoambulia.Computer programming language ni:
1-C Language
2-C++
3-Objective C
4-Java
5-Javascript
6-Rubi
7-Python
Nakushauri anza na namba moja, uanze basics zake zote kisha uimalize yenyewe. Ukiweza kuimudu hizo nyingine utajifunza kirahisi
kweli kabisa ndo maana ata java ina library zake mbalimbali kwa mfano library ya network , graphics , string handle cha msingi ww jua basic ya programming basi ayo mengine utarifaa pale yanapoitajikaugha ziko zaidi ya mia 500 ila ukijua basics za programming utaweza kujifunza kwa urahisi na labda nikueleze kitu sio lazima ujue lugha nyingi unaweza kujua 2 au 3 au hata moja na ikawa inatosha
Hapo nimeona jina la mpenzi wangu rubi tu.ndo nilichoambulia.



Usichekeshe wenye madeni hadi wakapagawa