Nisiyetabirika kamwe

Nisiyetabirika kamwe

bora umwambie kwani niko kopilaiti na yeye kitabia,kimiondoko, kwa kusema ovyo bila mpangilio, kwa kukaa kimya hadi kisura kama hivi images.jpg
Bujibuji unatafuta ngumi, mwanangu Zion Daughter anatabirika na kueleweka. ladyfurahia ni mtoto wako na amethibitisha mwenyewe! Malezi yamekushinda unaanza kumgawa mtoto kwa watu wengine.
 
Hakua siri yoyote baba unanikataa na wakati nshakuwa mkubwa wewe huoni fahari mwanao nikikuletea kidume hapo home tena kidume chenyewe ni Mentor huoni fahari baba? nauliza? naomba nipe utaratibu ninyoshe mikono juu baba sema basi mbona wanyamaza kimya?
Hizo siri zenu za kutunga na mwanao asiyetabirika wala hazitaitingisha ndoa yangu!
 
Last edited by a moderator:
dah! Hii mipombe mikali ndo imesababisha nisielewe kilichoandikwa au?
 
Kwa bunge la vyama vingi kurumbana kwa hoja ni hali ya kawaida lakini kurumbana kwa kurushiana maneno ya matusi, ya mtaani hiyo siyo democrasia ya vyama vyingi ndani ya bunge lakini mimi nazani kuna vitu ambavyo vipo nyuma ya pazia kuhusu mahusiano ya wabunge labda wana chuki zao binafsi ambazo sisi raia hatuzijua kwa sababu mimi sioni sababu ya kumtusi mbunge mwenzio kama hoja ya msingi ipo mezani inajadiliwa tetea hoja yako na sio matusi.
 
Back
Top Bottom