Nisiyetabirika kamwe

Nisiyetabirika kamwe

wakaribishwa PM kwa kikao kwani hicho kikao kitakuwa kikubwa au kidogo nimtaarifu mume wangu ili asije shangaa kuona nachelewa kurudi home?
Pole sasa nimeshiba ila mimi najona mimi na simwingine dah!!naomba kikao na wewe!!
 
hivi hujui kuwa siku hizi bunge la CC tumebadilisha lugha sema unataka nini? nyosha mkono na sema "NAOMBA UTARATIBU" usimwingilie mwenzako wakati anatoa hoja yake?
na mimi naomba Muongozo Mh M/kigoda.. huyu Spika ana taaluma gani? sababu naonekana anaweza kuongoza vikao vya mipasho siyo vya bunge kama hili, na je status yake ikoje kaolewa au kaoa? mengine yanafuata
 
hivi hujui kuwa siku hizi bunge la CC tumebadilisha lugha sema unataka nini? nyosha mkono na sema "NAOMBA UTARATIBU" usimwingilie mwenzako wakati anatoa hoja yake?

nimenyoosha mpaka nimechoka naona hunioni... naona na wewe umekuwa kama makinda na makinda yake
 
Back
Top Bottom