Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Fidel angalia tamaa zisikuharibie mlo baada ya kuwa umeuhanikiza kwa mate;
Charity huko mwanzoni ulisema mtaji mdogo; hivi mtaji mdogo kwa biashara hii ni kiasi gani?
Charity huko mwanzoni ulisema mtaji mdogo; hivi mtaji mdogo kwa biashara hii ni kiasi gani?