Nishangilie timu gani?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,476
39,995
Shemeji yenu mkubwa ni alumnus wa MSU, so hizo kelele nyumbani si utani; timu pinzani Connecticut ina Hasheem THE BEAT! mbongo mwenzangu na kijana anayepepea bendera ya bongo vizuri kwenye NCAA na michezo kwa ujumla hapa US..

Timu hizo mbili kesho zinacheza; yeyote atakayepoteza kutakuwa na kahuzuni nyumbani.. sasa ili kuwa salama na kuhakikishiwa "kula" for the next year nishangilie MSU au ndiyo nioneshe uzalendo!!? nimetingwa hapa au niwe mgonjwa nishangilie kimoyo moyo...
 
..inategemea shemeji yetu mdogo anashangilia timu gani!! :)
.. kama MSU, basi itabidi nawe ushangilie hiyo hiyo... wajua tena, wengi wape!
..kama anashangilia connecticut, basi upande wa wabongo mtakuwa wengi, mshangilie Thabeet!!

..ukishindwa kabisa kati ya hayo mawili, nitonye, nitakujulisha namna ya kukorofisha mitambo ya tv kusiwe na ushabiki siku nzima, channel zote zibakie kuwa cartoon networks, au geographical channel-travel!!!
 
Mi nakushauri uende Hooters peke yako....ununue mbawa zako na moja moto moja baridi....uangalie gemu na ushangilie timu unayotaka. Najua utapata kampani nzuri tu hapo Hooters...Lol
 
Shemeji yenu mkubwa ni alumnus wa MSU, so hizo kelele nyumbani si utani; timu pinzani Connecticut ina Hasheem THE BEAT! mbongo mwenzangu na kijana anayepepea bendera ya bongo vizuri kwenye NCAA na michezo kwa ujumla hapa US..

Timu hizo mbili kesho zinacheza; yeyote atakayepoteza kutakuwa na kahuzuni nyumbani.. sasa ili kuwa salama na kuhakikishiwa "kula" for the next year nishangilie MSU au ndiyo nioneshe uzalendo!!? nimetingwa hapa au niwe mgonjwa nishangilie kimoyo moyo...

- Mama watoto kwanza, maana mpira wa MSU/Uconn ukiisha tu isije ikawa mzungu wa nne, bwa! ha! ha! ah! nomaaa, dawa ni kukubali yaishe shangilia MSU mwanangu tena kwa nguvu zote!

Respect!

FMES!
 
- Mama watoto kwanza, maana mpira wa MSU/Uconn ukiisha tu isije ikawa mzungu wa nne, bwa! ha! ha! ah! nomaaa, dawa ni kukubali yaishe shangilia MSU mwanangu tena kwa nguvu zote!

Respect!

FMES!


got u.. I think that is the policy maana nisije nikaambiwa "kalale huko huko kwa kina Thabit!"..
 
Tuhabarishe ilikuwaje kwenye game na njegame mambo yaliendaje.sometimes challenge ni nzuri pia zinachangamsha nyumba na ukaribu pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom