King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,852
- 95,062
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Shida ni hapo kwenye kutafuta kiongozi...Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Usikate tamaa bado wakati wako mkuu.Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
p mkuu?Shida
Shida ni hapo kwenye kutafuta kiongozi...
Mbona sijapewa?Utapewa wa kufanana nawe.
hawana vigezo mkuuSASA KAMA KOBAZI MNAGOMA KUOA NA NDOA ZENU BEI CHEE HAYA SIELEWI
Kuwa makiniNime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Hao wakijijini sina hamu nao kabisaNenda kijijini kwenu kakae miezi 2 poga doria la hatari nyofoka na 1, shida mnasaka hawa wacheza singeli na wapanda juu ya meza.
Utatafuta hadi uitike ABEE
DuuùuuuuhUmetoka kutuambia mke wako anaomba taraka kwasababu wewe unatembea na mama yako,Sasa unahangaika kuoa tena wakati mama yako yupo ambaye unamvulia nguo kila siku
Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Nashangaa, hajifika hata hiyo 30, ana wenge, sasa sisi principal bachelor tusemajeBado mdogo wewe tulia
Viibukie vitoto vya form four huviwahi
Utapata mke
Utapata tu, mi nilikuwa kama wewe ila ghafla bin vuu katika sehemu ambako hata sikutarajia nikapata mali🤣🔥🔥🔥Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Kama Vipi join the chain 😁Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa
Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
Dah Yule mwamba sijui kawezaje kung'oa chuma Ile matata balaaMi nilivyomuona yule mchungaji mfupi kang'oa chuma nimepata Imani sana mwaka ujao lazima nivute kitu
Una vigezo gani na unataka mkeo aweje?Si
Waoni mkuu naona midosho tu