Nishakata tamaa na kuoa

Nishakata tamaa na kuoa

Nime give up kabisa nakuoa na nimekuja kuamini ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani kila nikitafuta mke wa kuoa nakosa naambulia hawa wanawake wasioeleweka kabisa

Ndoa siyo ya kila mtu aisee yaani nakaribia third floor halafu sioni dalili yoyote ile ya kupata mke kabisa aisee
chukua hao wasioeleweka halafu utamfanyia transformation, kwa sababu hao wanaoeleweka ndani ya ndoa anaweza akakuletea MAUZAUZA, au jiunge na kanisa la Mwamposa kuna wanawake wengi wanenda kuombewa waolewe, na huwa ni PISI za kueleweka sana
 
Back
Top Bottom