Nisamehe waitress

Nisamehe waitress

Nebuchadinezzer

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,403
Reaction score
2,549
Juzi bhana nilienda bar fulani kupata moja baridi (mirinda nyeusi). Ile naingia hvi, nakutana na rafiki yangu Thomas, ikabidi nijongee kwenye meza aliyokuwa amekaa akiwa na mkewe ( wameoana kama mwezi tu). Wakipata wine taratibu.

Ile nimekaa waitress akaja ili anihudumie, nikaagiza mirinda nyeusi. Then nikawa busy na chat na manzi flani hvi.Cha kustajabisha, waitress akaja na soda imefunguliwa tyari. Eti ,karibu. Aisee nilipandwa na hasira nikaimwaga chini ile soda. Kila mtu pale bar akashangaa!

Baadae nilimshushia maneno yule waitress mpaka akaanza kulia huku akipiga magoti kuniomba msamaha..akishika miguu yangu huku akinisihi nisiende kushitaki kwa meneja wake.

Kwa kitendo kile nilikosa amani kabisa na ile bar hadi Leo sitarudia tena kwenda pale.

Hebu fikria, unapewa soda iliyofunguliwa kizibo halafu hujua kaifungua SAA ngapi. Utajisikiaje?

Na nyie mliooa wanawake mkakuta hawana bikra amani mnaitoa wapi?

Nimewamiss JF wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulifanya makosa hata kumfokea. Kweli umefanya vyema kuomba msamaha.

Maana hata ungemueleza kwa Upole tu , angekuelewa sana. Tena ungeonekana mstaarabu pia.

Sema tu ni ile hali kila mtu akifika bar anapenda aoneshe Superiority yake.

Karibu sana Mfalme Nebuchadnezzer.

Sent using Jamii Forums mobile app
@SK2016 asante sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi bhana nilienda bar fulani kupata moja baridi (mirinda nyeusi). Ile naingia hvi, nakutana na rafiki yangu Thomas, ikabidi nijongee kwenye meza aliyokuwa amekaa akiwa na mkewe ( wameoana kama mwezi tu). Wakipata wine taratibu.

Ile nimekaa waitress akaja ili anihudumie, nikaagiza mirinda nyeusi. Then nikawa busy na chat na manzi flani hvi.Cha kustajabisha, waitress akaja na soda imefunguliwa tyari. Eti ,karibu. Aisee nilipandwa na hasira nikaimwaga chini ile soda. Kila mtu pale bar akashangaa!

Baadae nilimshushia maneno yule waitress mpaka akaanza kulia huku akipiga magoti kuniomba msamaha..akishika miguu yangu huku akinisihi nisiende kushitaki kwa meneja wake.

Kwa kitendo kile nilikosa amani kabisa na ile bar hadi Leo sitarudia tena kwenda pale.

Hebu fikria, unapewa soda iliyofunguliwa kizibo halafu hujua kaifungua SAA ngapi. Utajisikiaje?

Na nyie mliooa wanawake mkakuta hawana bikra amani mnaitoa wapi?

Nimewamiss JF wote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi nyingi fake usijisifu sana, umekutana na mtoto wa mjini kakuingiza chaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tsh 500 tu ndo umtukane waitress wewe utakuwa ulikuwa na stress zako tu
Juzi bhana nilienda bar fulani kupata moja baridi (mirinda nyeusi). Ile naingia hvi, nakutana na rafiki yangu Thomas, ikabidi nijongee kwenye meza aliyokuwa amekaa akiwa na mkewe ( wameoana kama mwezi tu). Wakipata wine taratibu.

Ile nimekaa waitress akaja ili anihudumie, nikaagiza mirinda nyeusi. Then nikawa busy na chat na manzi flani hvi.Cha kustajabisha, waitress akaja na soda imefunguliwa tyari. Eti ,karibu. Aisee nilipandwa na hasira nikaimwaga chini ile soda. Kila mtu pale bar akashangaa!

Baadae nilimshushia maneno yule waitress mpaka akaanza kulia huku akipiga magoti kuniomba msamaha..akishika miguu yangu huku akinisihi nisiende kushitaki kwa meneja wake.

Kwa kitendo kile nilikosa amani kabisa na ile bar hadi Leo sitarudia tena kwenda pale.

Hebu fikria, unapewa soda iliyofunguliwa kizibo halafu hujua kaifungua SAA ngapi. Utajisikiaje?

Na nyie mliooa wanawake mkakuta hawana bikra amani mnaitoa wapi?

Nimewamiss JF wote.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa uamuzi huo Mkuu. Juzi kati nilikaa bar moja huko mikoani kwetu nikaagiza maji makubwa,wakati naendelea kunywa kausafiri kangu kalikokuwa car wash jirani na bar hiyo kakaanza kupiga alarm, nikamuomba muhudumu aniangalizie kinywaji nikaenda kuzima alarm. Niliporudi nikawa na mashaka kidogo juu ya usalama wa yale maji lakini nikachagua kuzipuuza hisia zangu,nikapiga funda moja la wastani nikajisikilizia. Ndani ya dakika tano kizunguzungu cha kilevi kikanipata, akaja brother mmoja akaomba akae kwenye meza yangu nikamruhusu lakini nikahisi ana connection na muhudumu niliyemwachia kinywaji. Faster nikabeba yale maji nikaelekea counter nikalipia then nikaenda kukaa kwenye benchi la car wash huku kaulevi kanazidi. Nilikaa pale kwa muda sana hadi hadi nilipojisikia haueni nikachukua chuma yangu nikatembea maji nikayaacha nyuma ya benchi. Nilikokuwa naenda ni mbali nimetembea kama km 30 hivi ikaja gari ndogo ikapita kwa kasi, hisia zikaniambia jamaa wanafuatilia ufanisi wa kilevi chao. Nilichofanya nilihakikisha hawaniachi zaidi ya mita 500 tumefika kwenye mlima speed yao ikapungua mimi nikaingia overdrive nikapotea kwa kiwango ambacho sikuwa naona taa yao nyuma tena. NB: Watu siyo wema, usalama wako ni jukumu lako mwenyewe.
 
Hongera kwa uamuzi huo Mkuu. Juzi kati nilikaa bar moja huko mikoani kwetu nikaagiza maji makubwa,wakati naendelea kunywa kausafiri kangu kalikokuwa car wash jirani na bar hiyo kakaanza kupiga alarm, nikamuomba muhudumu aniangalizie kinywaji nikaenda kuzima alarm. Niliporudi nikawa na mashaka kidogo juu ya usalama wa yale maji lakini nikachagua kuzipuuza hisia zangu,nikapiga funda moja la wastani nikajisikilizia. Ndani ya dakika tano kizunguzungu cha kilevi kikanipata, akaja brother mmoja akaomba akae kwenye meza yangu nikamruhusu lakini nikahisi ana connection na muhudumu niliyemwachia kinywaji. Faster nikabeba yale maji nikaelekea counter nikalipia then nikaenda kukaa kwenye benchi la car wash huku kaulevi kanazidi. Nilikaa pale kwa muda sana hadi hadi nilipojisikia haueni nikachukua chuma yangu nikatembea maji nikayaacha nyuma ya benchi. Nilikokuwa naenda ni mbali nimetembea kama km 30 hivi ikaja gari ndogo ikapita kwa kasi, hisia zikaniambia jamaa wanafuatilia ufanisi wa kilevi chao. Nilichofanya nilihakikisha hawaniachi zaidi ya mita 500 tumefika kwenye mlima speed yao ikapungua mimi nikaingia overdrive nikapotea kwa kiwango ambacho sikuwa naona taa yao nyuma tena. NB: Watu siyo wema, usalama wako ni jukumu lako mwenyewe.
Pole sana mkuu...usalama ni hitaji muhimu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na nyie mliooa wanawake mkakuta hawana bikra amani mnaitoa wapi?
Duuh..
Haya mambo hayana kanuni, unaweza kuoa virgin ukasalitiwa mwamba.
Alie oa alietumika anaweza kutunziwa heshima kuliko matarajio.

Ndoa na kifo vina siri kubwa.
 
Mamaaeee na ufirauni wangu wote niliowahi kufanya miaka ya nyuma kabla yakuoa sijawahi kutana na msichana bikra,yaani nimetyomba wanawake kama 1000 lakini sijafanikiwa kukutana bikra,sijui nilikuwa na mkosi gani Mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom