Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Nisamehe Rapunzel Saba mara Sabini

Huyu mwanamke keshakujua we hupindui kwake, atakutesa sana, mwisho atakuua au kukufunga ka E Mbasha.
 
mapenzi hayo Eli79 si ulisema i love you nyingi,umeona sasa.

..yani we acha tu...mie naona kama kero saivi!! Huyu akigeukia kule I love u, akienda huko I love u...khaa!!
 
Last edited by a moderator:
Ohooo kumbe...

Ngoja nicheki na hommie akutumie ipasavyo mpk ukose hamu ya kuja kwenye umbea. Utakondaje kuishi bila umbea?

hivi leo si wikend??chap chap saana kam without..
 
Ohooo kumbe...

Ngoja nicheki na hommie akutumie ipasavyo mpk ukose hamu ya kuja kwenye umbea. Utakondaje kuishi bila umbea?
Ukitaka dar express zibadilishe roaster ya madereva usababishe nikose umbea!
Sinfanyie hi yo mke wenu!
 
Ukitaka dar express zibadilishe roaster ya madereva usababishe nikose umbea!
Sinfanyie hi yo mke wenu!

Mi najua unajua kuwa nlikuwa nakutania. We hata nikikufumania unatusaliti, mi ndo ntakuomba radhi. Limbwata likikaribia kuisha unambie mke wetu.
 
Mi najua unajua kuwa nlikuwa nakutania. We hata nikikufumania unatusaliti, mi ndo ntakuomba radhi. Limbwata likikaribia kuisha unambie mke wetu.

Saaaaaaasa je!
Mwaaaaaaaaah
 
hii n strategy mkuu she doesnt need yoh anymore what i'd advice stop help her n collect those item u been offered ..hoe
 
Back
Top Bottom