OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Last edited by a moderator:
yani mimba zetu hizi za sa hiz au?
vitu vingine uwage unauliza spesifiki!
viiiiiiiip masai?
by ze way yangu i mean ya mama nafkir ilipatikana baba alivopandishwa cheo
kuhusu konnie hem kwanza nicheck nae
ntarud!
hahahahhh karibuuuu!Mi poa kabisaaaa ,visa vyenu aaaaaaanh didint no nina madada komedi kabisa! !!!!!
Yaani enewei mngekuwa mnauzika aseee Tanzanite cha mtoto
hiv hujaona my wii wetu anesemaje?
our trio melted her heart!sorry her sweet beautiful heart!
af konnie kidhungu cha kubembeledha kitaaaaamu!
huo ujinga ebu soma tangazo langu hapa
nauza samaki wa mapambo
aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 10000 kwa pea serfin
more
shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000
kwa pea gapi wekundu
shiling 10000 kwa pea gold fish
shilingi10000 kwa pea na aina
nyingine nyingi kwa
picha zaidi tembelea facebook page
appolinary william utaona picha
ya samaki
kwa picha na mawasiliano
whats app number 0712505049
huduma hadi nyumbani kwako
katika top three na mi natumaini nipo lol
hahahaha! We subiri mgombano ujao ! Uwahi!!
Tyta umemaliza. Asantejf:where amazing happens..
Join Date : 30th May 2014
hahahahhh karibuuuu!
hapo kweny mauzo hapo..........
unanfanya nianze kuwaza million 10 za watu!aaaargh!
Heeeeee huoni kichaka???!!!!!
Nshasema siwauzi!!!!!!
zunguka zunguka zunguka zungukaaa eeeeeeenh!uuuuhuuhhu !! Neema ya mungu imetuzungukaa!! Huu wimbo kaimba nani? Aisee !! Shem Lamborghini msweet akizingua tena we mreport abuse kwetu!!
zunguka zunguka zunguka zungukaaa eeeeeeenh!
Walisema hawarudiaaan mbn wamekuwa maswiiti
Zunguka zunguka zunguka zunguka eeeeeeee!
Mwalimu hii maiti nani kaifufua tena? Hataki wanetu wasome?
Likizo Aspro!
Stuka!