Rais Samia anayo mapungufu mamkubwa sana ktk uongozi wake. Usimamizi wa rasilimali, nidhamu ya watumishi, ufisadi, etc ni maeneo ni baadhi ya maeneo serikali imeonesha udhaifu mkubwa. Hata hivyo mh. Samia anavumulika kuliko shetani.Mimi ni kati ya Watanzania ambao tulikuwa hatukuelewi kipindi ukiwa hai. Ni kweli, kama mwanadamu ulikuwa na mapungufu yako. Lakini jambo moja ni hakika, uliipenda Tanzania na Watanzania kwa moyo wako wote.
Kila nikisikiliza ule wimbo wa Msechu huwa ninatokwa na machozi. Pumzika kwa amani Rais Magufuli. Hakika tunakulilia kama ulivyosema tutakukumbuka kwa mema yako.