Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 17,644
- 27,740
Wewe pimbi hata ungekesha JF kumsafisha yule MUUAJI nakuhakikishia HASAFISHIKI.Hayo yote unayoeleza watu wameyasikia tokea Magufuli akiwa hai ila bado watu wanamkumbuka Magufuli. Athari za mapungufu ya Samia ziko wazi na zinawagusa watu kiuhalisia kuliko mengi yaliyoelezwa kuhusu Magufuli.
Achana na Rais Samia, hata kama ana mapungufu Milioni 100, lakini nchi imetulia mikononi mwake. Hilo DHALIMU lenu manaloliabudu LILIKATALIWA na Mungu mwenyewe manamo 17/ 03/ 21.
Hata Familia yake chini ya Mama Janet imejisikia ahueni, ila mijinga humu bado imamuabudu