Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Yan Unamsevu mzinguaji kisha unataka akupe mapenzi? Akikunyima unaanza kuonaa umeletewa tabia za ajabuajabu? dooh kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Alikuwa mzinguaji kweli hata aliyemuoa ana shida Mkuu.

Halafu nilikuwa namalizia mafao yangu man.
 
Alikuwa mzinguaji kweli hata aliyemuoa ana shida Mkuu.

Halafu nilikuwa namalizia mafao yangu man.
ukiingia Kimizinguo lazima utaletewa mizinguo, ujawai kuona kuna dem malaya sana ila ukimtongoza wewe anakukatalia?

Mwanamke akikuona michosho anakuletea michosho vilevile.
 
Mbona Mimi enzi zangu nshatapeliwa Sana? Sijawahi kulipiza kisasi hata siku moja! Umeenda Mpaka hotelini uko nae na Mlikua mmeshaongea about a week or so na hio promise katoa yeye mwenyewe, mnafika mnachukua na kulipia room, mnaingia mnafika, unAjiandaa, unaanza utundu wako. Ghafla mwenzio anabadilika kama vile haelewi. Unabembeleza weee Matokeo yake unakua una buy time mtoke ili usionekane hujapewa. Si unajua kujishuku? Ukianza kuvaa nguo ili muagane anakujulisha kuwa hana nauli! Halafu kuna ile Pesa aliyokuomba kuna "vitu " anataka akanunuae! Dah, kiunyonge Sana unampa anakwambia haitoshi! Unajizuia usipandwe hasira, una mpa kisha hasemi hata asante. Mnavyotoka anakuomba ukamuache kituoni, unampakia, kwenye gari hamuongei, anakuuliza,. Mbona umenuna? Anakuomba msamaha kisha anaku promise next time!! Hahaahhaha unajiuliza, huyu mtu ni binadamu au jini? Ila huwa hatulipizi visasi, hio ndio maturity ya kiume na Law ya Hunter, amekosa leo, atapata kesho. No extra fighting,
umenena vyema
 
ukiingia Kimizinguo lazima utaletewa mizinguo, ujawai kuona kuna dem malaya sana ila ukimtongoza wewe anakukatalia?

Mwanamke akikuona michosho anakuletea michosho vilevile.
Ndiyo maana nilimaliza maana alishawahi kuzingua sana.
 
"Three things in human life are important. The first is to be kind. The second is to be kind. And the third is to be kind."
Ila usiwe kind mpaka ukaboa.

Huo nao utakuwa uboya mkuu.
 
ila ulivyomsave si pouwa kabisa aisee.... hukufanya fair kabisa kumyima mtoto mzuri nauli .. mwenzio aliileta papuchi kwa roho nyeupe wewe ndiye uliyeharibu na kumsave lijina la ajabu badala hata uhakikishe papuchi inarudishwa kwao vizuri ukaiacha stand si pouwa kabisa aiseee...........
 
Mkuu kama uliwai kuitwa mwizi pole sana maana sipati picha ungekuwa ufahamiki ayo maeneo ungedanji kisa nyap**** very bad scene
 
Kwenye mahusiano kuna manyanyaso mengi sana
Imagine mtu anayekuvulia chupi unamsave jina kama hilo!anagundua hilo na wewe bado hutafakari hisia zake bali nyege zako
Kafunga safari toka mbali kakufuata...achana na yote ya ugomvi alihitaji nauli kama mhitaji mwingine yeyote yule
Kuna watu mna roho ngumu sana mimi nisingeweza kufanya huu unyama
mtani sana yani.. halafu yeye kunyimwa mzigo ni kwa sababu ya ujinga wake
 
Back
Top Bottom