pendoharri
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 508
- 306
Anna usithubutu kumsamehe maan ameonyesha hakupendi anapenda tamuu tuu
Alikuwa mzinguaji kweli hata aliyemuoa ana shida Mkuu.Yan Unamsevu mzinguaji kisha unataka akupe mapenzi? Akikunyima unaanza kuonaa umeletewa tabia za ajabuajabu? dooh kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
ukiingia Kimizinguo lazima utaletewa mizinguo, ujawai kuona kuna dem malaya sana ila ukimtongoza wewe anakukatalia?Alikuwa mzinguaji kweli hata aliyemuoa ana shida Mkuu.
Halafu nilikuwa namalizia mafao yangu man.
umenena vyemaMbona Mimi enzi zangu nshatapeliwa Sana? Sijawahi kulipiza kisasi hata siku moja! Umeenda Mpaka hotelini uko nae na Mlikua mmeshaongea about a week or so na hio promise katoa yeye mwenyewe, mnafika mnachukua na kulipia room, mnaingia mnafika, unAjiandaa, unaanza utundu wako. Ghafla mwenzio anabadilika kama vile haelewi. Unabembeleza weee Matokeo yake unakua una buy time mtoke ili usionekane hujapewa. Si unajua kujishuku? Ukianza kuvaa nguo ili muagane anakujulisha kuwa hana nauli! Halafu kuna ile Pesa aliyokuomba kuna "vitu " anataka akanunuae! Dah, kiunyonge Sana unampa anakwambia haitoshi! Unajizuia usipandwe hasira, una mpa kisha hasemi hata asante. Mnavyotoka anakuomba ukamuache kituoni, unampakia, kwenye gari hamuongei, anakuuliza,. Mbona umenuna? Anakuomba msamaha kisha anaku promise next time!! Hahaahhaha unajiuliza, huyu mtu ni binadamu au jini? Ila huwa hatulipizi visasi, hio ndio maturity ya kiume na Law ya Hunter, amekosa leo, atapata kesho. No extra fighting,
Kuliko nikupe wew bora nijitie vidoleAkigoma utanipa nani sasa? Ila nitakuja kwako PENDOHARRI.
Maneno yangekuwa yanatoboa nahisi tungekuwa zaidi ya matenga sasa hivi. Wanasema sana halafu mwisho wa siku wa mkoani nao wanataka kuja Dar
pambaneni bhana wanawaharibia cvDuh..Mkuu
kuna dada aligongwa gari Msamvu mwaka 2014 akatambulika kwa jina la Anna, alivunjika miguu yote na sijui kama ali-recover, sababu ilielezwa ni kukosa nauli ya kurudi kwao .
Huenda akawa yeye.
mtani sana yani.. halafu yeye kunyimwa mzigo ni kwa sababu ya ujinga wakeKwenye mahusiano kuna manyanyaso mengi sana
Imagine mtu anayekuvulia chupi unamsave jina kama hilo!anagundua hilo na wewe bado hutafakari hisia zake bali nyege zako
Kafunga safari toka mbali kakufuata...achana na yote ya ugomvi alihitaji nauli kama mhitaji mwingine yeyote yule
Kuna watu mna roho ngumu sana mimi nisingeweza kufanya huu unyama