Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

It's quite ironic that wengi wanamtupia mawe mshkaji kwa kulipa kisasi, hata baada ya kuomba msamaha(?)

Sir G angekuwa mwanadamu, tusingepona kabisa.
 
wewe ni katili kabisa huna utu...............

funzo bint usiwe tegemezi mia kwamia kwa mwanaume hata kama anatakiwa yeye akupe nauli,...jiongezeuwe na ergence kwa kuwa kama mwanaume nikikuita ni wajibu wangu ukugaramia nauli ilahaimaanishi ndo usiwe na nauli yako.......

ni kejeli na dharau na kunyanyasa kusave mziguaji...ok hata kama umesave ye akishaona bai ana haki ya kutokupa..so ulitaka arudi akupe ndo papuchi ndo umpe nauli....ana aki ya kukunyima il ahukuwa na haki ya kumnyima nauli.....
 
Dah, ingawa mimi si muumini wa kusave wapenzi kwa majina ya baby na sweety ( phone book yangu yote kila mtu ameseviwa kwa jina lake halisi including mpenzi wangu ), ila jamaa alichokifanya siyo fair. Afadhali ungekuwa umesave jina la kueleweka, eti ukasave mzinguaji.

It is not fair, ingawaje naye hakutakiwa kupanic alivyopanic, kwa msichana mwenye uelewa ilipaswa akuulize kwa nini umemsave hivyo. Angechukua maelezo yako kisha angepima.

Kwa mwanamke aliyekomaa kiakili, kama jibu lako lingekuwa halijamridhisha, mchezo angekupa, ila baada ya hapo kibao kingegeuka yangeweza kuwa kati ya haya: Either ndo ungekuwa mwisho wenu, ama ndo ingekuwa mwanzo wa yeye kukuzingua na kubeba dhima ya uzinguaji hawa kama ulivyomuita.

Kwa bahati mbaya mlikutana nyote akili hazijatengemaa.

Wahenga walisema (hawa ni wahenga wazungu ) "Experience is a good teacher". Next time naamini hutofanya uliyoyafanya.
 
Kuna wakati hua najaribu kujishusha na kujiweka kwenye nafasi kama baba/ kaka/ mjomba nk, hasa pale ninapo kosewa na hawa viumbe kwasababu nimekua na desturi ya kumuwaza sana binti yangu kwamba amekua sasa na ninaomba asije akatendewa mabaya kwenye mahusiano
 
Dah ukisikia ZUMBUKUKU ni ww. Wanaume tuna roho za kikatili lkn hiyo ya kwako imezidi. Hiyo laana itakutafuna
 
Haha. Omba tu wasigundue.

Kuna manzi ameni-save "Tanzania" kwenye simu yake, na huwa namsaidia mara kadhaa issues zake zikikwama. Nimejiweka mbali kabisa na yeye, ila hajawahi kujua kwanini.
Hahaha najua ,Jombaa nakuwa makini sana kama Sniper anapofika kwenye (FFP) Final Firing Position ,one has to lower his/ her breath using tactical breathing and he/she must fire between the heart beats ,akikosea hapo anajua nini kitampata

Ila Jombaa bora hata kakusave Tanzania kuliko angekusave Mchambawima-Zanzibar
 
Back
Top Bottom