Nisamehe popote ulipo

Nisamehe popote ulipo

Story yako iliendelea..dk ya 89 baaako napita maeneo ya stand namuona mtoto mkalii amejikunyata..

Dada mambo...poa samahani naomba niulize swali....nikajichukulia kiulaaani..nikamtawanya..asubuhi nikampakia akarudi dar.

Nimemega had alipoolewa juzi juzi
Hahah

Mwambie asamehe Mkuu
 
HiviE="Asprin, post: 17504066, member: 9760"]Same there sweetheart....[/QUOTE]
Hivi babu Asprin unawangapi humu?
 
We jamaa jinga saaaana khaaaah unaonekana mkatili sn na hyo dhamira iendelee kukusuta mpk kiama. Hata akikusamehe tafuta namna utubu pia kw Mungu na utoe sadaka ili ujisafishe mana utatesek sn.
Mimi sio mjinga Mkuu.

Tambua kuwa hata biblia inasema jino kwa jino Mkuu.

Alianza nikamaliza mkuu.
 
We jamaa ni katili saa! Nahisi hata katika ndoa iwe umeoa au utaoa utaishi maisha ya visasi kwenye ndoa! Omba Mungu ubadilike! Du sikujua kua sisi wanaume ni makatili hivi,
Thanks.

Ila tambua wanawake Sio watu wa kuwachekea ni wanafiki sana Mkuu.
 
Kwenye mahusiano kuna manyanyaso mengi sana
Imagine mtu anayekuvulia chupi unamsave jina kama hilo!anagundua hilo na wewe bado hutafakari hisia zake bali nyege zako
Kafunga safari toka mbali kakufuata...achana na yote ya ugomvi alihitaji nauli kama mhitaji mwingine yeyote yule
Kuna watu mna roho ngumu sana mimi nisingeweza kufanya huu unyama
Heshima yako Mkuu.

Anna alikuwa na mambo ya ajabu sana Mkuu.

Nilishawahi kutimba kwake wkeend hivi kipindi hicho anasoma UDSM nikamfumania akiwa na Jamaa kugonga mlango ukafunguliwa nikaulizwa unataka nini?.. Mwenyewe yupo ndani ukazuka ugomvi wa hapa na pale kimtindo.

Nilishangaa ANNa anapiga kelele mwizi Mkuu sema kilichonisaidia wale majirani zake walikuwa wananijua sana na walikuwa marafiki. Wakawa wamenitetea basi likaisha nikasepa zangu Mkuu.

Wakati mwingine hawa viumbe wanatupa raha ila kaa nao kwa akili.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Habari zenu wakuu wa MMU. Ni matumaini yangu kuwa mko poa wote.

Lengo kubwa la kuanzisha huu Uzi ni kumuomba msamaha ex gf wangu tulieachana nae mwaka 2014.

Sio kwamba nataka turudiane bali ni kwa lile tukio lilotokea pale MSAMVU STAND baada ya kuwa tumegombana tukiwa Logde moja hivi nyuma ya msamvu.

Tuligombana baada ya kukuta nimemsevu mzinguaji na ukaamua kuninyima haki yangu( Papuchi) na kila nilipokuwa nataka kumshika au kumpapasa alipiga kelele na kupelekea wahudumu wa lodge kuja kutugongea mlango na kutushauri tuwe na ustaraabu kidogo tukiwa tunamega tunda kumbe hata sio kelele za kumega tunda.

Baada ya kama nusu saa hivi bila mafanikio yoyote niliondoka pale lodge kwa hasira sana nikielekea stand nipande daladala nirudi home.

Nikiwa natembea kwa unnyonge wa kunyimwa papuchi kisa tu kuseviwa MZINGUAJI nikasikia sauti toka nyuma ikiita mike..mike..Mike please naomba unisikilize.. kugeuka ni ANNA a.k.a madam. Bila hiana nikasimama ili nijue anataka kuniambia nini.

Akasogea karibu yangu ila akiwa amejawa na uso wa huzuni na majonzi..ndipo aliponiomba nimlipie nauli ya kurudi Dar na kunihakikishia kuwa hawakuwa na nauli hata shilingi moja nilifurahi kusikia hivyo nikakumbuka ule msemo kuwa "ndege mjanja hunaswa kwenye tundu bovu"

Nikamwambia twende stendi usijali nitakulipia ingawa moyoni mwangu sikutaka nimlipie bali nimkomoe tu. Baada ya kufika stendi nikamwambia kana hapa ngoja nikatoe hela M-PESA nakuja ili tulipe nauli usepe.

Mtoto akanielewa na akawa ameketi kwenye kiti cha abiria katika kibanda cha kukatia tiketi kumbe ile ilikuwa ni gia ya kuondoka kwenda nyumbani na kumuacha pale. Alipiga sana simu nyingi lakini sikuona kama zina umhimu wowote kwangu maana alinidhalilisha sana.

Hivyo basi, mpaka leo hii sijui alifikaje mjini Daslam au alikuwa tu analeta ujanja wake ili nimlipie nauli wakati ameninyima papuchi.

Mwisho, najua sana uko humu wewe binti mzuri ANNA na unapendelea sana MMU. ukisoma thread hii nitafute kwa namba ileile tuombane msamaha vizuri.

Mike.
Ngoja na mimi ni-delete nisije nisije nikakutwa.Maana nime-save hivyo hivyo.
 
Afu bado wakurya tunasingiziwa kuwa ndio viumbe wakatili kuliko wote hapa tanzania!kumbe kuna viumbe wakatili zaidi yetu?
Hata hivyo alikutana na Mkurya Mkuu.

Tatizo akiwa anasoma pale UDSM alishawahi kunipigia kelele za mwizi kisa nimemfumania Mkuu.

Ndiyo maana nilisema nitakupata tu na kweli alipatikana.
 
Firauni mkubwa wewe,nimekuchukia sana.
Huyo mwanamke akikutafuta akapimwe akili.
Nifah, usichukie mdada mzuri.

Kama ni ukatili aliunza yeye maana alishawahi kunipigia kelele za mwizi kisa nimemfuma na Jamaa sema kufahamiana na nilikuwa mtu poa kwa majirani zake pale nikasaidiwa.
 
Back
Top Bottom