Hakika leo nathubutu kumuomba msamaha ndg Nchemba kwa mawazo yangu hasi juu yake. Nilimdharau na kumzihaki!! Nilimuona kama kada maslahi kumbe sikuwa sahihi.......!Leo nadiriki kujitokeza hadharani na kukwambia SAMAHANI.
Mchango wako wa leo bungeni ndio ulionibadilisha mtazamo wangu hasi juu yako......Kweli mwanzo hatukukujua vizuri.
Mimi sio mtabiri,lakini kwa uzalendo na msimamo wako usio na chembe ya uoga wa kuwatetea walala hoi wa nchi hii....hakika utafika mbali sana katika medani hii ya kisiasa.
Kila la heri mzalendo.
Hakika leo nathubutu kumuomba msamaha ndg Nchemba kwa mawazo yangu hasi juu yake. Nilimdharau na kumzihaki!! Nilimuona kama kada maslahi kumbe sikuwa sahihi.......!Leo nadiriki kujitokeza hadharani na kukwambia SAMAHANI.
Mchango wako wa leo bungeni ndio ulionibadilisha mtazamo wangu hasi juu yako......Kweli mwanzo hatukukujua vizuri.
Mimi sio mtabiri,lakini kwa uzalendo na msimamo wako usio na chembe ya uoga wa kuwatetea walala hoi wa nchi hii....hakika utafika mbali sana katika medani hii ya kisiasa.
Kila la heri mzalendo.
Comrade Othomorine; Ok ni uungwana kukubali kosa na kuomba msamaha; lakini mtazamo wako dhidi ya Mwigulu Nchemba ulikuwa SAHIHI 100%; kwa sababu haiba ya mtu inawakilishwa na maneno na matendo yake! Mwigulu yule alikuwa wakala wa shetani!! nathubutu kukuhakikishia kwamba hukuwa peke yako kwenye mtazamo hasi dhidi ya the Then Mwigulu kada wa CCM; tulikuwa wengi sana; hata hivyo mmoja wa waasisi wa mapinduzi ya Zanzibar; hayati Shk Thabiti kombo alituasa kuwa na "Akiba ya maneno" nakubali Mwigulu amezisoma alama za nyakati na amebadilika lakini nmasita kumuomba msamaha sasa hivi; it is too early; wahenga walisema "Maji hayasahau asili; hata uyachemshe kiasi gani; shurti yatarudi yatakuwa baridi tu!!!!; tuwe na akiba ya maneno tusije kuwa disappointed; tusisahau kwamba kubadilika kwa Mwigulu tunakokusifia sisi; tayari ameshaanza kupata "maadui" ndani ya Chama Cha Majambazi; wanamuona kama Yuda Iskariot; ameanza kuwasaliti wakati walikuwa wanamuona kama jembe lao mahiri nla kuusakama upinzani; na leo hii sina hakika kama umemsikia mbunge wa sikonge Saidi Mbumba; kwenye mjadala wa escrow; ametamka bayana kwamba alishaanza kumuona Mwigulu kama amepotoka kutokana na msimamo wa Mwigulu kuhusu Bunge la katiba baada ya UKAWA kutoka nje.
Time will tell if mwigulu has indeed changed for the better and forever; tuendelee kumfuatilia; none the less hata mimi leo nimempa 110%. #bringbackourmoney
Hakika leo nathubutu kumuomba msamaha ndg Nchemba kwa mawazo yangu hasi juu yake. Nilimdharau na kumzihaki!! Nilimuona kama kada maslahi kumbe sikuwa sahihi.......!Leo nadiriki kujitokeza hadharani na kukwambia SAMAHANI.
Mchango wako wa leo bungeni ndio ulionibadilisha mtazamo wangu hasi juu yako......Kweli mwanzo hatukukujua vizuri.
Mimi sio mtabiri,lakini kwa uzalendo na msimamo wako usio na chembe ya uoga wa kuwatetea walala hoi wa nchi hii....hakika utafika mbali sana katika medani hii ya kisiasa.
Kila la heri mzalendo.
Tunaomba tuwekewe link sisi ambao hatujapata bahati ya kusikia hili sakata tangu linaanza,najaribu youtube pia sipati,
wasema kweli kama mwigulu tutawasifia ila watetea wafu kama wewe tutazidi kukuponda daimaTaratibu mtakubali tu.