Nisamehe Mwigulu Nchemba

Nisamehe Mwigulu Nchemba

Tumsamehe kwa yaliyopita, akiendelea hivi basi muelekeo wake ni mzuri.Tumtie moyo kuwa muelekeo ule wa zamani haulipi, bali huu wa sasa utamfikisha mbali.

Sawa sawa mkuu.Mtu anapofanya vizuri ni vyema tukamsifu na kumtia moyo na sio tu kung'ang'ania kumhukumu kwa historia yake ya nyuma.
 
Watu wangu walioitwa kwa jina langu wakijinyenyekesha na kuiacha dhambi yao nitaiponya nchi yao...hii msg ina mafuta na ndo iliyoleta moto ndani ya kikao kile...upo utaji na utisho ktk sura ya huyu jamaa na hasa atakapoendelea kuutafuta uso wa BWANA...namkumbusha Mwigulu kila aliitiaye jina la Bwana na auache uovu wake... Tz ina hitaji la mtu atakayetoa sadaka na dhaka za Kweli ili Bwana airidhie Nchi..ccm inatembea ktk giza na vinyago sana, lkn unabii unasema yuko mtu anayekwenda kuviteketeza na kuvipiga vita vitakatifu..
 
Kwa hiyo unajisifu mwenyewe kwa account yake nyingine eeh? Urais 2015? Tutaona viroja vingi

umeona mbali, kila mtu na technic ake. Haaahaaah! Bnafsi bado naendelea kumsoma ukiacha ugaidi ni mtendaji mzuri.
 
Mhe. Mwigulu nitamkubali pale atakapokiri hadharani ubaya na madhara aliyoyasababisha kwa wanasiasa wenzake hasa wa vyama vya upinzani hasa CDM. Lasivyo utakuwa ni ujanja tu wa muda ya kutafuta kuungwa mkono ktk harakati za kutafuta uongozi wa juu ktk chama chake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom