Othmorine
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 717
- 784
Hakika leo nathubutu kumuomba msamaha ndg Nchemba kwa mawazo yangu hasi juu yake. Nilimdharau na kumzihaki!! Nilimuona kama kada maslahi kumbe sikuwa sahihi!Leo nadiriki kujitokeza hadharani na kukwambia SAMAHANI.
Mchango wako wa leo bungeni ndio ulionibadilisha mtazamo wangu hasi juu yako.Kweli mwanzo hatukukujua vizuri.
Mimi sio mtabiri,lakini kwa uzalendo na msimamo wako usio na chembe ya uoga wa kuwatetea walala hoi wa nchi hii,hakika utafika mbali sana katika medani hii ya kisiasa.
Kila la heri mzalendo.
Mchango wako wa leo bungeni ndio ulionibadilisha mtazamo wangu hasi juu yako.Kweli mwanzo hatukukujua vizuri.
Mimi sio mtabiri,lakini kwa uzalendo na msimamo wako usio na chembe ya uoga wa kuwatetea walala hoi wa nchi hii,hakika utafika mbali sana katika medani hii ya kisiasa.
Kila la heri mzalendo.