kson m
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 6,682
- 3,066
Ni kweli mwigulu kaanza kubadilika aendelee hivyo hivyo.hao maescrow sio wa kukumbatia.kwa kweli Mwigulu amebadilika sana,kama ataendelea hivi sioni kwa nn tusimfikirie kumpa ofisi kuu 2020,sio mnafiki tena,anawafikiria maskini wa tanzania,mama wajane ,watoto wa wakulima,big up