Nisamehe ewe Mwalimu

Sasa huu msamaha ni ili ufanye malipizi ya kumpa tena tunda au kumuumiza roho tu ticha wa watu
 
Kumbe unatumia JF? Sawa nimekusamehe ila naomba unisaidie, japo siku moja nami furaha yangu niipata paata nakuzimia sana, natanguliza shukra, maan ulivyoniacha ile siku had leo sina bahata, nitajiona mwenye bahati kupata penzi lako, i love you baby girl
 
Kidogo niseme ndo wewe uliye sababisha tupate ziro kwenye Test ya Linguistics,, kabla ya Pasaka,kisa Kuna binti kamyima tuna na kukataa kwenda Kenya for pasaka
 
Aki kumbe una exist...
Saa hii utakuwa mhot nway bado buda anakuwaga karao??
 


!
!
kwa hisaninya watu wa Marekani nimekusamehe kwa niaba yake. Haya haraka njoo PM
 
Wee utakua unajutia kumnyima mwl wa kikenya gegedeo, ulienda kuwapa wengine wakaribu mbaya hadi ukamkumbuka teacher
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…