Mama Diana
Member
- Sep 2, 2011
- 16
- 1
tafadhali ndugu zanguni nahitaji msaada wa ajira kwani nimemaliza form 4 ila sina professional yoyote tafadhali. Nisaidieni tafadhali
tafadhali ndugu zanguni nahitaji msaada wa ajira kwani nimemaliza form 4 ila sina professional yoyote tafadhali. Nisaidieni tafadhali
tafadhali ndugu zanguni nahitaji msaada wa ajira kwani nimemaliza form 4 ila sina professional yoyote tafadhali. Nisaidieni tafadhali
karibu sana Jf...umemaliza form 4 lini na kazi gani wazimudu vyema.
Pole huna professiona yeyote...je uzoefu?
Umewahi fanya kazi gani huko nyuma???????
Ungependelea kazi gani......
Umri wako???????
Duh!pole sana mkuu,njoo huku moshi 2pge ishu za kupanda mlima mkuu!
Usikate tamaa! Bora we una hizo fomu nne. Mi mwenzio nina standadi saba na sijakata tamaa. Ila nakushauri ukipata kibarua usisahau kujiendeleza kielimu. Mimi kutokana na umri kuelekea machweo nimeamua kujikita ktk ujasiriamali ili nisomeshe wanangu yasiwakute yaliyonikuta. Kaza buti Mwaya!
<br />
<br />
nimemaliza mwaka jana ndugu yangu.
Kuuza dukani, house keeper, isipokuwa bar medi na uchangudoa ndiyo kazi ambazo siko radhi nazo
wakaa wapi? diana ni mwanao? baba yake yu wapi
<br />
<br />
maswali meng hvo ya nin,c umsaidie 2 mdada wa wa2,au unataka we ndo uwe baba diana?
wakaa wapi? diana ni mwanao? baba yake yu wapi
<br />
<br />
sure!
<br /><br /><br />
<br /><br />
naishi mbezi luois. Yaap diana ni mwanangu. Baba yake alinikana na alinikimbia.
<br />Naishi Mbezi luois. Yaap Diana ni mwanangu. Baba yake alinikana na alinikimbia.
Nakutakia kila la kheri attitude yako ni nzuri sana na nina uhakika utafanikiwa..., umeshajaribu kujiajiri kama mama lishe; biashara ndogo ndogo kama nyanya au kupika samaki na kuuza; n.k. nina uhakika utafanikiwa.., vitu kama kuuza uji au nyanya mtaji hauzidi hata elfu 20,000/= na kama una bustani nadhani unaweza ukapanda mchicha na mbogamboga kwa faida...
Nina uhakika utapata kipato kikubwa kuliko huko kuajiliwa kama muuza duka na masingamo mengi na kusingiziwa mwizi...; mfano kama utalipwa 100,000/= (ambayo sidhani) hii ni sawa ni chini ya 3,500 kwa siku na nina uhakika ukikaza buti hukosi 10,000 kwa siku kwenye biashara ya vitumbua, mboga, nyanya au juice..