AKILI KIJIKO
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 405
- 592
- Thread starter
-
- #101
At least wee jamàa umevaa viatu vyangu. Umeangalia hili suala kwa jicho la tofauti.Umejuaje mtoa mada anajua kingereza?
Wanaume tumeumbiwa tamaa,kugawa upendo kwa wanawake wawili ni kitu cha kawaida sana,katika wanaume 10 ni nan mwenye mwanamke mmoja (tuseme ukweli bila kuficha ),hili jambo la mahusiano zaid ya mwanamke mmoja kwa kweli ni sifa yetu wanaume,hata vitabu vingi vya dini utaona mitume walifanya hivyo.
Sasa nashanga kuna baadhi ya malaika humu jf wanamshambulia ambapo ukweli unawezakuta mtu ana michepuka hata minne.
"We tuliza akili,sikiliza moyo wako unamtaka yupi,najua uwezi kuwapenda wote sawasawa"
Bonge la ushauri mkuu, sijui kwanini sikuomba ushauri muda mrefu. Asante sn nduguWeka kwenye mzani hasa kwanye matumizi ya pesa wote wape pesa yenye dhamani sawa mfn 500k Kisha angalia Nani atafnya kitu ya maana huyo ndo mke chukua haraka sna
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ushauri wa huyo jamàa nachelea kusema si mtu wa kawaida lazma atakuwa mchungaji, sheikh au nabiii maana ameandika vitu conki sana mpaka amegusa mtima wanguUngeitafsiri hii kwa lugha yetu ingewasaidia wengi sana,hasa hapa: "I just wish you don’t see your daughter crying for the same reason once she grows up. I wish your daughter doesn’t fall for someone like you.Just remember KARMA is there! Whatever you do will come round to you only. No one else is going to pay for your sins!".....
Hii inamake sense pia japo mbinu hii ikifeli ugumu utaamia kwanguFanya hivi chukua simu zao kaa nazo siku tatu utapata matokeo yupi wa kuoa yupi wa kuacha au utawaacha wote. Inaonekana hata kuwachunguza bado unachovya tu
Naomba mbinu au approach za kuongeza akilii.Eti AKILI KIJIKO! Ongeza ukubwa wa akili kwanza, hiyo issue ni ndogo kama una akili za kutosha.
[emoji28][emoji28][emoji28]WEKA PICHA TUKUSAIDIE KUCHAGUA
Ningekuwa wewe ni Mimi ningekupa ushauri uje uombe ushauri humu jfkwanza jivue uhusika alafu majibu utayapata mfano tuchukulie
ningekuwa mimi ni wwe
Na wewe ungekuwa mimi ungenipa ushauri gani?
itafeli wapi wakati wewe ndio mwenye maamuzi ya mwisho? Be a manHii inamake sense pia japo mbinu hii ikifeli ugumu utaamia kwangu
Maana kilammoja atataka nae akae na cm yangu siku 3 hapo ndiopo nitakapo dakwa ubaradhuli wangu
Very sureKwa hii situation, angesitisha tu swala la kuoa kwanza hadi pale atakapojitambua anahitaji nini kwenye ndoa.
Waite sehemu wote wawili ila iwe sehemu ya wazi isiwe ndani wanaweza kukudhuru then wape ukweli afu waachie maoni kutoka kwao kama wakiamua kukuacha wewe sawa kama wakiamua uwaoe wote sawa oa wote kama dr fulani hiviHabari gani Watanzania wenzangu.
Naomba wadau mnisaidie ushauri wenu maana nipo njia panda. Mimi ni kijana umri miaka 30. Nina wanawake (mademu) wawili ambao nawapenda sana na kila mmoja ananipenda sana.
Kwakweli nimefanikiwa kuishi nao bila wao kujua kama ninawachanganya; nimedumu nao kwa miaka miwili sasa, na wote wananiamini sana na kila mmoja anaamini nitamuoa.
Sasa umefika wakati ambapo natakiwa nianze harakati za kuoa kama kumtambulisha mchumba kwa wazazi na kumchumbia. Napata wakati mgumu nimuache yupi na nimuoe yupi; wote ni wema sana kwangu na nakosa hata sababu ya ku-force ili nimuache mmoja
Wote ni wapole; nimesubiri mmoja anikosee nimuache lakini wapi, na ninapoelekea nakarbia kubambwa kwa ujinga niliowafanyia. Sasa nitumie kigezo gani kumuacha mmoja nibaki na mmoja nimuoe?
Naombeni msaada au nitumie kigezo gani ambao nitapata sababu ya kumuacha mmoja wao maana naona naaibika sio mda mrefuu.
MkuuAsante sana kwa ushauri wako japo ushauri wako umenifanya nijihisi mkosaji nisiyestahili kusamehewa. Umenifanya nijichukie mwenyewe na sijui nianzie wapi kurekebisha makosa niliyoyafanya.
Labda Kama katoka sayari ingie. Usikute hapo anaongea ambayo hata yeye hayaishiwanaume wote wangekua kama wewe ingekua raha sana....
Safi sana huu ni ushauri maridhawa kabisa nitaufanyia kazi bila shakafanya hivi utamjua anayefaa kuwa mkeo; Kila mmoja kwa wakate wake, mzingue mpaka afike kiwango chake cha juu cha kukasirika na ujitahidi kuwa mvumilivu kupokea maneno machafu usiyoyategemea. hapo utajua undani wao kila mmoja alivyo then ufanye maamuzi kwa atakayevumilia.
Mkuu licha ya kuwa hiyo picha ni yangu lakini haipo clear kiasi Cha kunijua kirahisi halafu nafahamu wao wapo bize sana na hata kupata muda wa kuingi jf ni mtihani sanaWe boya kwel.Et hawajui kama unatumia jf na ushasema hiyo avater ni picha yako
Ohooo..!Na ndio mana am watching ur steps n alert u.Naogopa lawama
Kunaubaya gani ukimuahidi mtu utamuoa halafu usimuoe au ukamuoa kweli?Hiv inakuaje mtu ana buy huu ujinga wa "nitakuoa"???
Mm sijawah aisee.
Hata mke wangu tu sikuwah kumuahid kama nitamuoa.
Ukishangaa ya Musa ...…..……......Mbona wachache sana hao jombaaa...
Hembu acha kulaza damu, mpaka wakati wa kuoa unatakiwa uwe na kazi hata 8 tofauti
😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]akikuoa mi ngakubali kuwa mke wa pili