Nisaidieni nakaribia kuumbuka


Sasa hapa umemuandikia trump ama?
Mtoa mada anakwambia kwa lugha nyingine ww unamjibu kwa lugha tofauti.

Hoja nzuri lakini umejuaje kama mtoa mada ataielewa lugha yako?
 
Huyo wa kwanza alifanya uamuzi sahihi, huwezi kaa na mtoto wa watu kienyeji tu bila kwao kua na taarifa. Labda iwe familia ambayo haina utaratibu... Unataka mke nenda kwao kajitambulishe na fata taratibu zingine.
Sema tu ulikua unamtaftia kisingizio umuache sababu kukataa kubeba mimba kabla ya ndoa na kuishi unyumba kienyeji na wewe sio kigezo et hakufaa kua mke.
 
kujitambulisha kupogo. lazima niishi nae pamoja kwanza nione kama tutawezana. bado nipo sahihi kwa nilichotaka kukifanya. alikua anapenda sana fights so nilitaka niishi nae at least mwaka mmoja kabla ya kwenda kichwa kichwa kwao kujitambulisha halafu nikaja kujutia maamuzi yangu.
 
Okay
 
Chonde chonde mkuu, tutakaopata shida ni sisi huku nyumbani, kwa hizi sifa sidhani kama Eyce mdogo wangu atalala nyumbani Leo..!! 😂
 
Lenie na cute eyes naomba muanze mchakato, tushaanza kukiona kisiwa kutoka baharini huku.! Mambo ni muswano, Pep ndiyo nimekubali.!! 😌
Jana ulikua na was wasi tu bure my sis, me tangia comment ya kwanza ya shem Pep aliyokujibu nilijua mtafika mbali labda kuwe na mkono wa mtu.
Nishafanya booking kadhaa, bado mambo machache tu maandalizi yatakua yamekamilika
 
Reactions: Pep
Moyo mmoja hauwezi kupenda watu 2 kwa level sawa siamini katika hilo, sema tu una ile guilty conscience kutokana na ahadi ulizowapa.
Una vigezo vya mwenza wako, compare and contrast kwenye hivyo vigezo ila anza na vile vya muhimu zaidi kwenye ndoa na maisha kwa ujumla. Mambo ya chura, rangi, shape.....vina mwisho/vinachuja umri unavyoenda.

Common interests/hobbies.....ni muhimu mno na ni msingi wa mawasiliano hamtakuwa mnaboreka, anayekufanya ucheke.... sex/watoto isiwe ndo kitu kitakachowaunganisha pekee.
Motherhood.... Kuna wanawake ambao naturally ni mama a utamjua kwenye maongezi na jinsi anavyowatreat watoto wa ndugu na marafiki zake.
Mpenda maendeleo..... kama ulimshirikisha chochote alipokeaje?? Au yeye alishaleta wazo lolote kwako?? Kiwanja, nyumba, biashara......

Muache mtoto wa watu mapema, itamuuma lakini itamsaidia huko mbeleni, muache kwa upole na jishushe haswaa. Tafadhali usimtafutie sababu ya kumuacha kubali makosa ni yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tubu waache wote Anza upya huwapendi wote waongozwa na nyege huwezi kupenda vitu viwili kiasi Cha usawa kila mtu ni unique iweje uwapende wote . Nyie wanaume kwa kujitaftia laana, ukute wadada wa watu wanakupikia, kukufuia wakifikiria ndoa
Ina maana mama Anna mghwira hujamsikia?
Labda mmoja kampenda kiunoni kwenda juu, na mwingine kiunoni kushuka chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…