Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,220
- 2,825
Kwanza moderator naomba usiupeleke uzi huu kule kwingine maana kule sijapata msaada
Wimbo wenyewe unaimbwa...
"Nalia woo wooo, nalia sana woo wooo ×2
Nataka kuwa mimi milionea, uwezo sina woo wooo
Nataka gari ya kutembelea, uwezo sina woo wooo
Masikini nadharaulika hapa duniani woo wooo
Sina kitanda nalala chini naumwa na kunguni woo wooo"
Mwingine unaimbwa...
"Ya nabi salamu alaykum,
Ya rasul salamu alaykum,
Ya habib salam alaykum,
Swalawatullahi alaykum.
Hii ya pili iliwika sana miaka hiyo nasoma shule kila mtu alikuwa anaweka mlio wa kuitia simu na ilikuwa kipande tu hivyo hivyo nilivyoweka hapo, sasa natafuta sana siipati (mwimbaji ni mdada na inaonesha ni wa kihindi maana hapo kwenye swalawatullahi anasikika kama anatamka swalevatullah)
Wimbo wenyewe unaimbwa...
"Nalia woo wooo, nalia sana woo wooo ×2
Nataka kuwa mimi milionea, uwezo sina woo wooo
Nataka gari ya kutembelea, uwezo sina woo wooo
Masikini nadharaulika hapa duniani woo wooo
Sina kitanda nalala chini naumwa na kunguni woo wooo"
Mwingine unaimbwa...
"Ya nabi salamu alaykum,
Ya rasul salamu alaykum,
Ya habib salam alaykum,
Swalawatullahi alaykum.
Hii ya pili iliwika sana miaka hiyo nasoma shule kila mtu alikuwa anaweka mlio wa kuitia simu na ilikuwa kipande tu hivyo hivyo nilivyoweka hapo, sasa natafuta sana siipati (mwimbaji ni mdada na inaonesha ni wa kihindi maana hapo kwenye swalawatullahi anasikika kama anatamka swalevatullah)