magician's codeII
Member
- Dec 22, 2011
- 26
- 1
Mamboz wana blogg!!
Jamani mie nimetafuta kazi hadi hamu inaisha...mimi nina advanced dip ya i.t ila natafuta kazi kwenye mashirika au n.g.o's.Juzi juzi tu nimeomba egpaf na nilikuwa nafuatilia ila receptionist kaniambia yani hiyo nafasi ni moja na zaidi ya barua 500 zimeshapokelewa...duh nilichoka maana hata mkoani am so ready to work.sio kawaida jinsia ya kike kukubali kufanya kazi mikoani ila mimi am ready jamani whoever has a lead just help out by replying me here.
Jamani mie nimetafuta kazi hadi hamu inaisha...mimi nina advanced dip ya i.t ila natafuta kazi kwenye mashirika au n.g.o's.Juzi juzi tu nimeomba egpaf na nilikuwa nafuatilia ila receptionist kaniambia yani hiyo nafasi ni moja na zaidi ya barua 500 zimeshapokelewa...duh nilichoka maana hata mkoani am so ready to work.sio kawaida jinsia ya kike kukubali kufanya kazi mikoani ila mimi am ready jamani whoever has a lead just help out by replying me here.