SAMORE TOURE
Senior Member
- Aug 5, 2012
- 116
- 9
hivi zile 77,400/= kwa ajili ya vitu kama ID,exam fee etc tunavilipa vyote kwa pamoja yani kwenye pay in slip moja? pia ukiangalia lile jedwali la tution fee 2012/13 kuna baadhi ya koz sizioni yani kama ba of sc in actuarial sc.........naombeni msaada hapo:wacko: