Nilikamatwa nikashitakiwa kwa tuhuma za kukutwa na nyala za serikali. Miaka minne ya kesi, mwaka 2008 mahakama ikatoa hukumu kuwa sikuwa na hatia, upande wa jamhuri haukutoa ushahidi wa kuishawishi mahakama kunitia hatiani.
Nataka kudai fidia. Nifanyeje? Naomba msaada.
Nataka kudai fidia. Nifanyeje? Naomba msaada.