Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,220
- 12,725
- Thread starter
- #61
kalumekenge amekataa kwenda shule😂Alfa ulela lela ya Mzee agrey Mwanri😂😂
😂
kalumekenge amekataa kwenda shule😂Alfa ulela lela ya Mzee agrey Mwanri😂😂
Yap, karibu vyote nilipata. Bado Alfu lela ulela toleo la kwanza.Natumae mleta mada ulipata muongozo...
Hicho ninacho.Hutaki mashimo ya mfalme Suleman?
Ninashida na kitabu cha someni kwa furaha 2B kile chenye hadithi ya Bulicheka. Na kitabu cha Alfu Lela Ulela(Ile tafsiri ya zamani achana na hii mpya ya Mkuki na nyota) vitabu vyote vinne. Ukivipata viscan na kunitumia scan yake.
Hicho someni kwa furaha ntalipia 10,000 na hivyo Vya alfu lela ulela nitalipia 15,000 kila kimoja. Kama ukipata ntakulipa jumla 70,000.
Natanguliza shukrani.
Hicho ninacho.
Nayo ipo.Ile nyingine ya Alan Quatermain?
Mie nipo znz lkn book shop pia hamna hivi vitabu. Ila kuna mtu niliwahi kumskia aliagiza from Mombasa KenyaWakuu bado sijapata hivyo vitabu.
Shukrani, nilipata. Bado hicho alfu lela ule kitabu cha kwanza.Pia labda ujaribu Pdf drive View attachment 2128285