Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,700
- Thread starter
- #41
Navifahamu vitabu. Nimetumiwa kibao ambavyo sivyo.Hii pupa uliyonayo ni rahisi sana kupigwa.
Navifahamu vitabu. Nimetumiwa kibao ambavyo sivyo.Hii pupa uliyonayo ni rahisi sana kupigwa.
Mkuu ulivyonavyo ni vitabu ganNavifahamu vitabu. Nimetumiwa kibao ambavyo sivyo.
Mkuu ulishavipata ?wakuu bado sijapata hivi vitabu. mwenye navyo anicheki.
Nimepata. Lakini bado alfu lela ulela toleo la kwanza.Mkuu ulishavipata ?
Bahati mbaya App inapatikana Kenya na TZ. Hivyo vitabu ntavitafuta, tatizo moja bongo havipatikani kabisa. Mpaka maktaba za nje. Nimewakiona hicho Miale ya kwanza ya jua na Hadithi za wayao.Application yako ya maktaba ni nzuri ila inasumbua Playstore inasema not available in this location.
Tafuta pia
Unyoya wa kipanga Azizi
Miale ya kwanza ya jua
Kuli
Fadhili msiri wa Naugua
Baada ya dhidi faraja
Hadithi za Wayao
Mitego ya anasa
Hivi vitabu vyote kwa sasa vipo ndani ya maktaba app.Someni kwa Furaha hata mimi pia nakihitaji, ukikipata nijulishe. Kinahuisana na safari ya Bulicheka na mke wake Elizabeti. Bulicheka alikuwa mwalimu wa shule ya Kilakala
App hadi ufanye njia za mkato ndiyo unaipata, hongera wazo lako ni zuri sana kuhifadhi hivyo vitabu vinavyotoweka. Hivyo vitabu vilikuwa kwenye maktaba za mikoa na maktaba kuu ya taifa na vina asili ya USSR hicho cha Miale ni kikubwa mno ila hadithi nzuri sana ila miaka ilivyoenda huwezi kuvipata labda utafute kwa waluivisoma zamani wakahifadhi majumbani hasa wafanyakazi wa maktaba. Kuna maktaba ya shirika la elimu Kibaha nenda kajaribu, pia wakutubi wastaafu unaweza kuvipata. Hivyo vya hadithi za kale nenda Ndanda kabisa watakuwa na nakala au wauza vitabu waliokuwa wanauza kwenye vituo vya gari moshi.Bahati mbaya App inapatikana Kenya na TZ. Hivyo vitabu ntavitafuta, tatizo moja bongo havipatikani kabisa. Mpaka maktaba za nje. Nimewakiona hicho Miale ya kwanza ya jua na Hadithi za wayao.
Unadhani kwenye national library vitakuwepo?
Unaongea na wazee walishapitwa na wakati. Makataba app naipta kwa kuidownload wapi, apple/ play store?Hivi vitabu vyote kwa sasa vipo ndani ya maktaba app.
Ipo Playstore. Maktaba app(by pictuss)Unaongea na wazee walishapitwa na wakati. Makataba app naipta kwa kuidownload wapi, apple/ play store?
Ni app nzr sn lkn mda mrefu hamjaweka kitabu kipya au mmeisusa kaka?Ipo Playstore. Maktaba app(by pictuss)
Kulikuwa na marekebisho yalitukwamisha. Lakini tumesharekebisha. Juzi tumeweka Vitabu viwili vya Alfu lela ulela, cha pili na nne. Wiki hii tutaweka cha tatu.Ni app nzr sn lkn mda mrefu hamjaweka kitabu kipya au mmeisusa kaka?
Shukrani sana kaka, tupo pa1 na app yetu mpk pale itafikisha downloads 10mil na zaidi inshallahKulikuwa na marekebisho yalitukwamisha. Lakini tumesharekebisha. Juzi tumeweka Vitabu viwili vya Alfu lela ulela, cha pili na nne. Wiki hii tutaweka cha tatu.
Amina.Shukrani sana kaka, tupo pa1 na app yetu mpk pale itafikisha downloads 10mil na zaidi inshallah
Hongera kwa kweli ongezeni vitabu mi nimeipenda app yenuKulikuwa na marekebisho yalitukwamisha. Lakini tumesharekebisha. Juzi tumeweka Vitabu viwili vya Alfu lela ulela, cha pili na nne. Wiki hii tutaweka cha tatu.
Ndugu naomba msaada wako Kwa vitabu ulivyovipata Nami nivisome.Nimepata. Lakini bado alfu lela ulela toleo la kwanza.
hivyo unaweza visoma bure ndani ya maktaba app(by pictuss) icheki playstore.Ndugu naomba msaada wako Kwa vitabu ulivyovipata Nami nivisome.