Nipo njiapanda

Nipo njiapanda

Kumbe hii story ni ya tangu mwaka juzi......lakini watu bado wana mzuka wa kuchangia tu....kweli JF ni noma kwa viporo.....
 
ninamtoto wa miez mitatu niliezaa nae aliniambia nitoe nikakataa basi tukawa tumekosana alinifanyia visa vingi nilikua nyumban nimejingua nikamjulisha aliuliza jinsia tu hakuendelea na mawasiliano kimya mpaka sasa....

kilichonifanya nije hapa

kuna kaka alikua anamke hawakufunga amezaa nae mtoto mmoja akampeleka chuo huko akazaa tena na mwanaume mwingine wakawa wameachana huyo kijana akamchukua mtoto wake... sasa kaja anataka kunioa mi nimemwambia siwez mtoto wangu bado mdogo anavyodai kanipenda kweli mtoto wake anateseka alipo ni kwa mama wake wa kambo na huyo kijana so anataka tuishi pamoja...

upande wangu sasa

1) cjui kwann bado nampenda sana baba mtoto nasubiria muujiza wa mungu labda atarudi na tutaishi pamoja kwani sipendi kuzaa watoto baba tofauti basi tu ishatokea

2) nitamwaminije kama yupo serious??? isije ikawa ndo yale tale tena maana anadai tuishi pamoja wakati anafanya mipango ya ndoa

3) nahisi mtoto bado mdogo angalau angekua anamwaka.. sijui niamue nn kwa sasa naombeni tu mnisaidie mawazo nifanye nini ndugu zanguni?


Ebu mwachie mtoto anyonnye kwanza maana msije mkapatia mtoto akawa kitu cha ajabu mwambia asuburi kwanza mwaka uishe aisee ilo la miujiza labda ufunge na kuomba mungu amfunue ex wake akumbuke kuna mtu anamlilia sana
 
Ngoja Tyta arudi huko alipoenda.
 
Last edited by a moderator:
..tunataka kuondoa utata..nijibu maswali yangu..

nimeshakujibu cjawah kuolewa... ila my x ilibaki ndoa tu nikapata ujauziti akaniambia nitoe ili mambo yetu yaende sawa sababu alikua anaogopa kutengwa kanisani tukifunga ndoa na ujauzito... ilibidi aache nikaenda kwake kigum alininyanyasa sana nikaondoka.
 
hapana ila baba mtoto wangu ilifanya process zote ilibak ndoa tu ndo nikapata ujauzito tukaanzia hapo migogoro

unaweza kunifafanulia hapo kwenye nyekundu..
naombeni msaada wa haraka sindano za uzazi wa mpango zimeniharibu nikiwa nafanya mapenzi natoka maji mengi sana hata nikiwa naandaliwa kwa ajil ya tendo!!! Hali ambayo sikua nayo kabla nifanyeje? Naombeni msaada wa tiba maana mme wangu hataki kunielewa kabisa istoshe hatuna hata miezi tumeoana na nilichoma before kumfaham asanten

niambie na umri wako tafadhali hata kwa range....
 
nimeshakujibu cjawah kuolewa... ila my x ilibaki ndoa tu nikapata ujauziti akaniambia nitoe ili mambo yetu yaende sawa sababu alikua anaogopa kutengwa kanisani tukifunga ndoa na ujauzito... ilibidi aache nikaenda kwake kigum alininyanyasa sana nikaondoka.

nifafanulie post no 27...na sema una umri gani...
 
unaweza kunifafanulia hapo kwenye nyekundu..


niambie na umri wako tafadhali hata kwa range....


sasa tyta mtu mpaka mahali ametoa sio kama mume? kumbuka ilibaki ndoa tu lakini kilakitu kilikua tayar means hadi utambulisho na hapo juu nimeeleza niiliishi kwake alinifanyia visa nikaondoka nikiwa mjamzito. umeelewa
 
sasa tyta mtu mpaka mahali ametoa sio kama mume? kumbuka ilibaki ndoa tu lakini kilakitu kilikua tayar means hadi utambulisho na hapo juu nimeeleza niiliishi kwake alinifanyia visa nikaondoka nikiwa mjamzito. umeelewa

wewe ulisema mmeshaoana hapa unaleta habari nyingine...

naombeni msaada wa haraka sindano za uzazi wa mpango zimeniharibu nikiwa nafanya mapenzi natoka maji mengi sana hata nikiwa naandaliwa kwa ajil ya tendo!!! Hali ambayo sikua nayo kabla nifanyeje? Naombeni msaada wa tiba maana mme wangu hataki kunielewa kabisa istoshe hatuna hata miezi tumeoana na nilichoma before kumfaham asanten

inaelekea hata hii habari huikumbuki uliitoa lini..kwenye blue hukuandika wewe??
 
mazafanta kumbe anatudanganya aiseee .. Tyta asante sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom