Mmmh najuta muda nliopoteza kutype hapa
Mi nacheka peke yangu hapa!!! Yaan najicheka nimehadaika...duuu! KWELI DUNIA HADAA...ULIMWENGU SHUJAA....nani aaminiwe cku hizi??? me au ke???
Mmmh najuta muda nliopoteza kutype hapa
You just can't accept the fact that I might not be a lier after all.
Mkuu moyo nao unasema???
Miujiza ya mwanaume aliekataa mimba na kusema itolewe,, binti kujifungua me hana habari anauliza jinsia tu na,mawasiliano hakuna!!!!!!!!!!
Unategemea mume type hio atokewe na miujiza ya kuoa tena?????? au ndo amrudie ampe mimba nyngne asepe........
Tina akili zangu nazijua mwenyewe upumbavu wa miujiza ya shetani unipite tu..
Mapenzi mama si unajua tena mapenzi upofu...
Mmmmhhh mambo ya mapenzi mimi huwa napata kigugumizi kutoa ushauri. Anyway....mi ushauri wangu ni kwamba achana na fikra za huyo baba wa mtoto wako usijekuwa unasubiria meli ubungo....huyo kijana anayeyaka kukuoa mwambie akusubiri mtoto akue na usishiriki nae mapenzi hadi mtoto aache kunyonya. La mwisho usikubali kuhamia kabla ya ndoa...hakikisha umefunga ndoa ndo uende kwake. Limeshafanyika kosa moja kwa hiyo kuwa na msimamo thabiti usifanye kosa la pili....pliiz usijirahisishe.
Mkuu kilaza....umewaza kuniuliza swali, ili ujumbe ulonao kichwani mwako unifikishie mm, ni lazma iwe ni kwa njia ya mdomo, ishara au vidole(kalamu au typing).Moyo ndo huridhia ujumbe uliomo kichwani utolewe nje ya mwili kwa njia hizo nilizokutajia hapo juu. Mkuu kilaza, cdhani kama uko serious kwa hili swali. Kama uko serious anzisha uzi mpya....nitakuja huko.
mkuu hapa nimetoka kapa siunajua sisi wenye akili za shake well before use tunamatatizo sana embu anzisha uzi unaohusu jinsi moyo unavyosema labda nitakuelewa
Hahaaaaa mimi je nimechoka roho
Mmmmhhh mambo ya mapenzi mimi huwa napata kigugumizi kutoa ushauri. Anyway....mi ushauri wangu ni kwamba achana na fikra za huyo baba wa mtoto wako usijekuwa unasubiria meli ubungo....huyo kijana anayeyaka kukuoa mwambie akusubiri mtoto akue na usishiriki nae mapenzi hadi mtoto aache kunyonya. La mwisho usikubali kuhamia kabla ya ndoa...hakikisha umefunga ndoa ndo uende kwake. Limeshafanyika kosa moja kwa hiyo kuwa na msimamo thabiti usifanye kosa la pili....pliiz usijirahisishe.