Nipo njiapanda

Nipo njiapanda

hivi kufunga ndoa ni nini hasa?
mwanaume kukamilisha taratibu za mahali au mpaka mambo ya kanisani na ukumbini?

kama ni hayo ya kanisani na ukumbini utamkosesha mume mwenzio.
vijana siku hizi hatuoi sababu ya gharama za harusi.
harusi siku hizi imegeuka sehemu ya kutiana umaskini na kutajirisha wengine.

Hakuna mtu ameongelea harusi hapa mkuu usitake kunilisha maneno. Kuuna ndoa za aina nyingi....nizijuazo mimi ni ndoa za kimila,kidini na zile za serikalini....yoyote atakayotumia yeye mradi iwe ni NDOA
 
😱😱😱 kama huu umri ni sahihi menopause si inamuhusu (samahani lakini)

Menopause inaweza isimuhusu pia, na pia yawezekana taarifa zake alizoweka kwenye utambulisho wake nazo zinaweza kua feki kama ID tunazotumia.
 
Jf visa..
Mara tunakua washauri mara mahakimu.
Najishangalia tu hapa.
 
Michango mingi mizuri, zingatia binti
 
mbona sijaona how her age is relevant na alichoandika mtoa mada. sijaelewa kwanini mmemuandama kiasi hiki? okay which is not possible???
1. giving birth at 44 or 43??
2. mkaka kutaka kumuoa mtoa mada mwenye 44yrs?? [haha its funny thou but lets not rule out the possibilities that in our country with 46M people it still can be possible]

msaada mi sijawaelewa kumuita muongo maimatha.
 
Je, mlipokiwa mkiishi pamoja hakuwa na hofu ya kutengwa na kanisa? Seriously.... angekuwa na hiyo hofu asinge kigusa mpaka ndoa.
 
Mkuu,wakat mwingne unanichekesha mpaka nafurah, yaan unakuwa kam ni mshirika wangu kikazi na makazi!!! Ila siyo neno...hata huu urafiki wa kugongana kimawazo ndani jf ni urafki mtamu zaidi. NITAFUNGU UZI, "MOYO WANGU USEMAVYO"

Mkuu mbona unazidi kunichanganya yaani unaweza kuchekeshwa lakini usifurahi?? mimi mwenyewe ndio ninakipaji cha kukuchekesha mpaka ukafurahi !!That's good kwaiyo ninafwata nyayo za Mr.been

usikute nimefikiria mbali hapo Mimi ni shirika wako kikazi na makazi ulimaanisha nini??? kama ulimaanisha ninavyofikiri basi usifafanue

Ninausubiri huo urafiki "Mtamu zaidi" Ni nadra sana kuupata huo urafiki inawezekana nikaupata kwako

I can't wait kuusikiliza moyo wako unavyosema

professor kilaza
 
Kwa nini anataka kukuoa? Sababu anakupenda au anatala ukamlelee mtoto wake
 
Back
Top Bottom