..na ukiwa na historia ya uongo huaminiki..
kuwa makini tunaweza kuwa tuna dili na mtu mzima sana..
Date of Birth:September 12, 1970 (44)
kuwa makini tunaweza kuwa tuna dili na mtu mzima sana..
Date of Birth:September 12, 1970 (44)
kuwa makini tunaweza kuwa tuna dili na mtu mzima sana..
Date of Birth:September 12, 1970 (44)
Kweli umakini unahitajika unapoleta mada hapa.
unaweza kunifafanulia hapo kwenye nyekundu..
niambie na umri wako tafadhali hata kwa range....
kwa kweli ukisubiria muujiza wa huyo aliekana mimba aje tena ni uongo angalia moyo wako ulipoelekea maana mwisho wa siku ni maish yako yapo mikonon mwako. hata siku moja huwez kujua utam wa ngoma kwa kuangalia na macho lazima uingie ucheze mwenyewe.
usikubali kuhamia kwa mwanaume kabla ya ndoa jipe value anakupenda afate procedure uwe wake halali
Me huruma kwa maimatha imenizidi mpaka namuogopa. Ndio maana nimesema vile pale awali. ILA NI VEMA UCIKUBALI CALL INGINE...mpaka hapo utapopata uhakika kwamba moyo wako uko radhi. Naogopa ukisaini kwa huyo new guy, hata kama mtafunga ndoa, alafu akatokea uyo bwana ulozaa naye, UJE KUSEMA MUUJIZA UMEKUTOKEA. Naogopa sana hilo. Subiri pale moyo utasema sasa nataka olewa/mume ndo ufanye mahusiano/ndoa.
Miujiza gani tinna
yaani mm nkikuonaga moyo wangu unapasuka pwaaaaaaaaaaaaa!
Hahahahaaaaaaa! Najuta kukufahamu! Nakuaminia si kidogo. I WONDER WHY YOU NEVER CATCH ME!😛oa. Either i never lie, or i am a good lier i remember the details or you are just waiting to bust me in the BIGGEST lie in History Uuuuuuuuuu it give me goose bumps, or you just like me (Of which will be the story of the gods! Lol!)
a lie impacts you as much as those you lie to,especially when you end up living it.come clean and face the consequences to regain control of your habit.I hope you havent been in the territory of lies without a passport of return!!heheh..you need to quit that even though you got some ''good'' lies that has leavening of truth and make them palatable.