Nipo njia panda

Nipo njia panda

Ni kweli ila huyu mwingine amesema yupo tayari kuwa second wife kitu ambacho huyu wa kwanza hataki kusikia habari ya kushare mume.


Kwanza tubia kwa Mola wako na utengeneze ulipo paharibu yaani ni kuwaoa wote hao mabinti. Kumbuka kutoa mimba ni uuwaji vile vile.ushauri usimwambie huyo wa kwanza ila funga nao ndoa na usirudie zinaa ujutie ulo yatenda
 
Ukome kazi kutujazia vitoto vya mtaani tu. Utaipata.
 
Sasa kwa ajili hiyo uko radhi huyo binti atoe mimba. Ili kuepusha hiyo dhahama au?

Kaa chini tafakari kabla hujachukua maamuzi ambayo yatakutesa huko mbele.

Tafakari chukua hatua


Alikutishia tu kujiua hawezi! Hata akijiua kwani atakua wa kwanza kujiua duniani?
 
duh...! hii ngumu kumesa...!!
Ila wakati wa kutafuna ilikuwa laini.
 
Wakati unawatongoza na kuwapa mimba uliomba ushauri... Watoto wa kike wana kazi sana, na ni wahanga sana... Sasa mtu kama huyu anajua kabisa alishapewa muongonzo na baado anatenda kusudi alafu anakuja kuaomba ushauri... panda ulichovuna...
 
Kwanza tubia kwa Mola wako na utengeneze ulipo paharibu yaani ni kuwaoa wote hao mabinti. Kumbuka kutoa mimba ni uuwaji vile vile.ushauri usimwambie huyo wa kwanza ila funga nao ndoa na usirudie zinaa ujutie ulo yatenda
Sawa mkuu.ila kitendo cha kufunga nao ndoa wote wawili kwa siri si ndo balaa baadae?
 
Back
Top Bottom