Nipo njia panda

Nipo njia panda

Sasa uko njia panda unaelekea wapi Mkuu ,bora urudi usije kupotea.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nilitokea kuzaa na binti akiwa bado anasoma kidato cha nne.baada ya kujifungua aliendelea na masomo mwishowe alifanikiwa kumaliza masomo yake ya chuo.Kwasasa ana kazi yake hivyo tunasaidiana kulea mtoto wetu pasipo wasiwasi.Bahati mbaya tena mwishoni mwa mwaka jana nilijikuta kwenye mahusiano na binti mwingine na kinachoniumiza kichwa zaidi ni kwamba huyu binti ana ujauzito wangu na amekataa kutoa amesema yupo tayari kulea hata peke yake ili mradi tu niikubali mimba na aje nyumbani kwetu kutambulishwa kama mke mtarajiwa.Tatizo lipo kwa huyu mpenzi wangu wa mwanzo ambaye nilizaa naye awali aliwahi kunionya endapo akisikia nimempa mimba msichana mwingine basi yeye ni shurti anywe sumu pamoja na mwanangu wapotee duniani ili aepuke aibu ya mimi kumdhalilisha kwa kumpa mimba msichana mwingine.Kwa upande wa huyu msichana wa pili amesisitiza hayupo tayari kuachana namimi kwa namna yoyote ile kwa maana akitarajia ndoa.Hofu yangu ni kwamba huyu mpenzi wangu wa awali akisikia juu ya kumpa ujauzito bnti mwingine anaweza kutekeleza azma yake ya kujiua yeye na mwanangu,je nifanye nini kunusuru tishio hili lililopo mbele yangu?Kisa ni kirefu ila nimejaribu kufupisha sana japo wadau mpate namna ya kunishauri.Natanguliza shukrani kwenu.
Akili ya kuambiwa changanya na yako
Timua wote kuanza upya si ujinga
 
Tatizo wengi wenu mnapenda kuvaa bukta harafu mnazunguka mitaani!, suruali zenye zipu hamuzioni?. Tulia tulii!, litakalokukuta ndio hilo hilo lako!
 
Wakati una wagegeda na kibamia chako hukuomba ushauri umeshalimbwanda huko unakuja kuomba ushauri... Kunywa simu wew hayo yote hautayaona
 
Kataa hiyo mimba ya pili. Ikiwezekana hata yule mtoto wa kwanza mkatae KABISA.
 
Problem...umejitafutia mwenyewe! Ukitaka kuwa salama huo mwenye mimba ya 2, atoe haraka sana! Unajichimbia kaburi, nakushauri kama mdogo wangu!

Kutoa mimba sio hoja, zimetolewa nyingi sana humu duniani


ushauri wa wauwaji huo kama kawaida yenu; unachukulia mambo poa sana; ona sasa, wewe mama yako si aliachwa na baba yako alie mpa mimba mama yako ukazaliwa wewe; lakini mbona haukufanyiwa abortion? zaidi mama yako aliamua kumkabidhi mimba baba mwingine na mpaka ukazaliwa; ivi kwa nini usimshauri amweleze huyo mwanamkw wa pili atafute mwanaumw mwingine ili ampe huo ujauzito kuliko kuua.
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nilitokea kuzaa na binti akiwa bado anasoma kidato cha nne.baada ya kujifungua aliendelea na masomo mwishowe alifanikiwa kumaliza masomo yake ya chuo.Kwasasa ana kazi yake hivyo tunasaidiana kulea mtoto wetu pasipo wasiwasi.Bahati mbaya tena mwishoni mwa mwaka jana nilijikuta kwenye mahusiano na binti mwingine na kinachoniumiza kichwa zaidi ni kwamba huyu binti ana ujauzito wangu na amekataa kutoa amesema yupo tayari kulea hata peke yake ili mradi tu niikubali mimba na aje nyumbani kwetu kutambulishwa kama mke mtarajiwa.Tatizo lipo kwa huyu mpenzi wangu wa mwanzo ambaye nilizaa naye awali aliwahi kunionya endapo akisikia nimempa mimba msichana mwingine basi yeye ni shurti anywe sumu pamoja na mwanangu wapotee duniani ili aepuke aibu ya mimi kumdhalilisha kwa kumpa mimba msichana mwingine.Kwa upande wa huyu msichana wa pili amesisitiza hayupo tayari kuachana namimi kwa namna yoyote ile kwa maana akitarajia ndoa.Hofu yangu ni kwamba huyu mpenzi wangu wa awali akisikia juu ya kumpa ujauzito bnti mwingine anaweza kutekeleza azma yake ya kujiua yeye na mwanangu,je nifanye nini kunusuru tishio hili lililopo mbele yangu?Kisa ni kirefu ila nimejaribu kufupisha sana japo wadau mpate namna ya kunishauri.Natanguliza shukrani kwenu.
Katika umri ulio nao bado hujajua faida ya matumizi ya condoms!!???
 
Hu
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nilitokea kuzaa na binti akiwa bado anasoma kidato cha nne.baada ya kujifungua aliendelea na masomo mwishowe alifanikiwa kumaliza masomo yake ya chuo.Kwasasa ana kazi yake hivyo tunasaidiana kulea mtoto wetu pasipo wasiwasi.Bahati mbaya tena mwishoni mwa mwaka jana nilijikuta kwenye mahusiano na binti mwingine na kinachoniumiza kichwa zaidi ni kwamba huyu binti ana ujauzito wangu na amekataa kutoa amesema yupo tayari kulea hata peke yake ili mradi tu niikubali mimba na aje nyumbani kwetu kutambulishwa kama mke mtarajiwa.Tatizo lipo kwa huyu mpenzi wangu wa mwanzo ambaye nilizaa naye awali aliwahi kunionya endapo akisikia nimempa mimba msichana mwingine basi yeye ni shurti anywe sumu pamoja na mwanangu wapotee duniani ili aepuke aibu ya mimi kumdhalilisha kwa kumpa mimba msichana mwingine.Kwa upande wa huyu msichana wa pili amesisitiza hayupo tayari kuachana namimi kwa namna yoyote ile kwa maana akitarajia ndoa.Hofu yangu ni kwamba huyu mpenzi wangu wa awali akisikia juu ya kumpa ujauzito bnti mwingine anaweza kutekeleza azma yake ya kujiua yeye na mwanangu,je nifanye nini kunusuru tishio hili lililopo mbele yangu?Kisa ni kirefu ila nimejaribu kufupisha sana japo wadau mpate namna ya kunishauri.Natanguliza shukrani kwenu.
Huyo amesema yupo tayari kulea ujauzito peke yake sasa analazimisha ndoa ya nini? Nahisi kama haujaitunga vizuri hiyo story yako bro..
 
Anayekushauri eti utoe mimba naye mjinga kama wewe..
Kipimo cha Uanaume ni jinsi anavyoweza kuhimili na kutatua matatizo...hicho ndicho kipimo chako cha uanaume...
Tuulize sisi tulio na wake wawili wawili....walipatikanaje?

Sio kuja kulia lia hapa.
 
umri wako si wa kujiingiza kwenye matatizo kama hayo. halafu unajisikiaje kuwa baba wa watoto ambao kila mtu ana mama yake?
 
Ushauri wangu ni huu🙁1) Kaoe huyo dada wa kwanza uliyezaa nae (2) Kwa vile dada wa kwanza alitishia kujiua yeye na mtoto pindi akisikia umempa mimba msichana mwingine basi mpeleke mbali huyo dada wa pili. Akiwa huko awe anahudhuria counselling unit ili aondoe mawazo ya kung'ang'ania ndoa na wewe kama mke wa pili. Akishazaa toa matunzo kwa mtoto na ikiwezekana msaidie huyo dada kiuchumi ili aweze kusimama mwenyewe kwani ni wewe uliyemvurugia mipango yake. (3) Kwa huyu dada wa kwanza utakaemwoa nae apate counselling ili kuondoa mawazo yake ya kujiua yeye na mtoto ili akisikia una mtoto nje asije aka panic na kutekeleza azima yake (4) Acha tabia ya kutembea ovyo na wasichana tena bila kinga kwani unahatarisha maisha yako na ya wenzio na pia kuharibu future yao na yako pia. Hii ni kwa sababu utajikuta unabeba majukumu ambayo kwa hakika kabisa ungeweza kuyaepuka (5) Mwombe Mwenyezi Mungu akusamehe katika hilo na pia awavushe salama katika mtihani huo (kama story yenyewe ni ya kweli).
 
We ki ufupi mkane na ikatae hiyo mimba kwa herufi kubwakubwa......
 
Back
Top Bottom