Nipo kwenye daladala nimekaa na demu mkali

milionea wa kesho

JF-Expert Member
Dec 28, 2015
328
631
Nipo kwenye daladala nimekaa siti moja na demu mmoja mkali ananunikia vizuri. toto jeupe lina chura mkubwa. sasa wakati anakuja kukaa top aliyovaa ilipanda juu kidogo nikaona shanga kiunoni za gold. Anatumia Iphone x. bado sijamwongelesha jamani sijui nianzie wapi. Hili suala la kuanzisha conversation naona bado gumu kwangu.

uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo kwenye daladala nimekaa siti moja na demu mmoja mkali ananunikia vizuri. toto jeupe lina chura mkubwa. sasa wakati anakuja kukaa top aliyovaa ilipanda juu kidogo nikaona shanga kiunoni za gold. Anatumia Iphone x. bado sijamwongelesha jamani sijui nianzie wapi. Hili suala la kuanzisha conversation naona bado gumu kwangu.

uzi tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe namba yangu mwambie Zero kasema mtafute

Cc Zero IQ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom