Nipo kinyume na utashi wangu,kwanini?

Nipo kinyume na utashi wangu,kwanini?

Hapo nimekusoama mkuu... sasa kama ubongo ndio unakufikilisha namna unavyofikili naamini hata kukupangia namna ya kutekeleza kile unchowaza inawezekana pia...hivyo nadhani ndio tunapata ule wa msemo wa kitaa"Important but not necessary VS Necessary but not important" katika ku prioritize mambo au wasemaje mkuu MankaM?

Sure mkuu ila kwa nilivyomuelewa mimi ndio hivyo
 
Last edited by a moderator:
mkuu belie pesa ni pointi nyingine kabisa ...hiyo haina msamaha mahalapopote hapa duniani , hata niwe chicha / tila lila lazima unilipe tu deni langu.

hyo ni kwako, huwezi jua upande wake, labda kote kote....... ndo mana nkauliza
 
Back
Top Bottom