Nipo kinyume na utashi wangu,kwanini?

Nipo kinyume na utashi wangu,kwanini?

Anza kunywa viroba kumi kwa siku ili ujijengee self confidence..na ukakamavu......

mkuu KikulachoChako Hivi kiloba kimoja kina alcohol ya wastani wa bia ngapi vile..... ??? maana natafakari alcohol inayopatikana kwenye viroba kumi tena vile vya buguruni au kwa mnyabudu.
 
Last edited by a moderator:
Kiaje?? mkuu MankaM fafanua plz.

Binafsi nashindwa kuielezea kiundani ... Mfano: umepanga kufanya jambo fulani lakini mwisho wa siku unalipotezea na kuona halina maana au halina umuhimu wakati mwanzo uliona umuhimu wake....

Kiufupi tu ni kwamba unakuwa unapotezea jambo.....

Wakati mwingine linaweza kuwa ni jambo la msingi kabisa lakini unalipifa chini unafanya lingine ambalo hata halina uzito
 
Last edited by a moderator:
mkuu KikulachoChako Hivi kiloba kimoja kina alcohol ya wastani wa bia ngapi vile..... ??? maana natafakari alcohol inayopatikana kwenye viroba kumi tena vile vya buguruni au kwa mnyabudu.
Viroba huwa vinawasaidia watu kufanya maamuzi magumu....bado sijafahamu kuwa kiroba kimoja kimebeba bia ngapi lakini nahisi ni zaidi ya nne.......mwenyewe si unaujua mzuka wake mtu akishajidunga.........???
 
Hapana ni katika mahusiano,naku kama mpuuzi wakati nafsi inataka uhusiano.
 
viroba kwangu marufuku,situmii kilevi chochote,so haitonisaidia.
 
Binafsi nashindwa kuielezea kiundani ... Mfano: umepanga kufanya jambo fulani lakini mwisho wa siku unalipotezea na kuona halina maana au halina umuhimu wakati mwanzo uliona umuhimu wake....

Kiufupi tu ni kwamba unakuwa unapotezea jambo.....

Wakati mwingine linaweza kuwa ni jambo la msingi kabisa lakini unalipifa chini unafanya lingine ambalo hata halina uzito

Hapo nimekusoama mkuu... sasa kama ubongo ndio unakufikilisha namna unavyofikili naamini hata kukupangia namna ya kutekeleza kile unchowaza inawezekana pia...hivyo nadhani ndio tunapata ule wa msemo wa kitaa"Important but not necessary VS Necessary but not important" katika ku prioritize mambo au wasemaje mkuu MankaM?
 
Last edited by a moderator:
Viroba huwa vinawasaidia watu kufanya maamuzi magumu....bado sijafahamu kuwa kiroba kimoja kimebeba bia ngapi lakini nahisi ni zaidi ya nne.......mwenyewe si unaujua mzuka wake mtu akishajidunga.........???

Hasa mkuu hata kama ni kiroba kimoja ni bia 4 , sasa viroba 10 ni bia zisizo pungua 40, mkuu huyo jamaa si atazima kabisa mpaka kufika jioni...
 
Hasa mkuu hata kama ni kiroba kimoja ni bia 4 , sasa viroba 10 ni bia zisizo pungua 40, mkuu huyo jamaa si atazima kabisa mpaka kufika jioni...
Wakati akiwa kazima ndio misimamo ndio inamuingia na akiamka anakuwa mtu mpyaa kabisa mwenye utashi usioyumba yumba....
 
Back
Top Bottom