G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,565
- 8,426
Mpwayungu
Kwa wenyeji wa Tarafa ya Mpwayungu, leo nipo hapa kwa masaa sita hivi, Kijiji ni kitulivu siyo mbaya, leo hali ya hewa siyo mbaya kabisa maana najua wazi kabisa kua, viunga vya Dodoma hua vinawaka jua la kutosha
Lakini leo Pako shwari kabisa, kama kuna mwenyeji tusalimiane, nipo hapa mpaka kwenye 16:30pm
Kwa wenyeji wa Tarafa ya Mpwayungu, leo nipo hapa kwa masaa sita hivi, Kijiji ni kitulivu siyo mbaya, leo hali ya hewa siyo mbaya kabisa maana najua wazi kabisa kua, viunga vya Dodoma hua vinawaka jua la kutosha
Lakini leo Pako shwari kabisa, kama kuna mwenyeji tusalimiane, nipo hapa mpaka kwenye 16:30pm