Kifai
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 816
- 173
Nilikutana nae miezi miwili, iliyopita,ni mchepuko dizain jana pia nilikuwa nae kuanzia saa sita mchana hadi asubuhi hii, ni binti mmoja mrembo wa kisingida, nimempata bata za kutosha ucku mzima wa jana, ucku tukafanya yetu kama kawa, tulitumia zaidi ya laki na ishirini kwa ucku ule,
Asubuhi nimempata elfu ishirini kazirudisha kwa hasira kwamba hazimtoshi, bado nipo najifikiria hapa nimtafute tena? Cause amenisusa kabisa, na hata nikimtafuta cna hela ingine ya kumuongezea, kosa langu liko wapi hapo jamani wadau,raha tulikula nae na ucku alikuwa kwenye 6/6 alikuwa ananishukuru namfikisha mlima k.'njaro najua michepuko cyo dili lakini......!
Asubuhi nimempata elfu ishirini kazirudisha kwa hasira kwamba hazimtoshi, bado nipo najifikiria hapa nimtafute tena? Cause amenisusa kabisa, na hata nikimtafuta cna hela ingine ya kumuongezea, kosa langu liko wapi hapo jamani wadau,raha tulikula nae na ucku alikuwa kwenye 6/6 alikuwa ananishukuru namfikisha mlima k.'njaro najua michepuko cyo dili lakini......!