Himidini
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 5,534
- 4,190
Huyu..... yani anamsema huyu dogo wa kinyiramba!!!!! .... Niazime tusi mkuu, walai nakurudishia tena ntakupa mawili, moja liwe kama riba.
Mwambie 'hiloo'
Huyu..... yani anamsema huyu dogo wa kinyiramba!!!!! .... Niazime tusi mkuu, walai nakurudishia tena ntakupa mawili, moja liwe kama riba.
Naona mleta uzi kaja kutuaribia wanyiramba....mkuu sie sio wa bei rahisi kiivyo...20000 kaaaah uu ni udharirishaj mkubwa
Kumbe wewe ni wa Singapore!! Mna hatari sana nyie.Kwahyo nyie ni wa bei gani kwa kukadiria?
Rrraaaabish utumbo gani huu unauliza tukushauri nini sasa.shame on u!!!!!allaaaNilikutana nae miezi miwili, iliyopita,ni mchepuko dizain jana pia nilikuwa nae kuanzia saa sita mchana hadi asubuhi hii, ni binti mmoja mrembo wa kisingida, nimempata bata za kutosha ucku mzima wa jana, ucku tukafanya yetu kama kawa, tulitumia zaidi ya laki na ishirini kwa ucku ule,
Asubuhi nimempata elfu ishirini kazirudisha kwa hasira kwamba hazimtoshi, bado nipo najifikiria hapa nimtafute tena? Cause amenisusa kabisa, na hata nikimtafuta cna hela ingine ya kumuongezea, kosa langu liko wapi hapo jamani wadau,raha tulikula nae na ucku alikuwa kwenye 6/6 alikuwa ananishukuru namfikisha mlima k.'njaro najua michepuko cyo dili lakini......!
Bado Sijaelewa why unahijaji 'ushauri wa haraka'?