Nipeni ushauri kabla sijachimba shimo la choo la kisasa?

Nipeni ushauri kabla sijachimba shimo la choo la kisasa?

kimara Kimara

Senior Member
Joined
Jul 7, 2024
Posts
137
Reaction score
278
Mambo vipi wakuu, Nipeni ushauri nimefikia hatua ya kujenga karo la choo.

Je ni Shimo lipi linafaa kwenye ardhi ya Udongo wa kichanga (SAND SOIL) kati ya Lile la kisasa lisilojaa ama yaja yetu ya kawaida.

Kuna Uzi humu (MODERATORS NAOMBA MUUSHUKIZE) Ulikua inaongelea hasara za mashimo ya kisasa kwamba ukikosea utaingia gharama mara mbili and soo
Pia soma Mfumo huu wa utengenezaji wa shimo la choo una changamoto/faida gani?
Screenshot_20250706-155001~2.png
 
Mambo vipi wakuu, Nipeni ushauri nimefikia hatua ya kujenga karo la choo.

Je ni Shimo lipi linafaa kwenye ardhi ya Udongo wa kichanga (SAND SOIL) kati ya Lile la kisasa lisilojaa ama yaja yetu ya kawaida.

Kuna Uzi humu (MODERATORS NAOMBA MUUSHUKIZE) Ulikua inaongelea hasara za mashimo ya kisasa kwamba ukikosea utaingia gharama mara mbili and soo
Pia soma Mfumo huu wa utengenezaji wa shimo la choo una changamoto/faida gani?
View attachment 3396387
fundi unae anayeweza kukufanyia Kwa usahihi?
 
Eneo lenye kichanga jenga mashimo ya kisasa.....Yanapunguza gharama mno tofauti na mashimo ya zamani! Yanachukua eneo dogo tofauti na mashimo ya zamani! Yanatunzika kirahisi kuliko mashimo ya zamani kama maji ya jikoni na bafuni na shower zote utayaelekeza kwenye shimo la mawe!

Kwa ujenzi wa mashimo ya kisasa na Ya zamani! Karibu nikuhudumie!

0789005562

Wiki hii nina offer!
 

Attachments

  • dodoma_septic_tank-20250111-0001.jpg
    dodoma_septic_tank-20250111-0001.jpg
    401.1 KB · Views: 35
  • FB_IMG_1736493315196.jpg
    FB_IMG_1736493315196.jpg
    70.4 KB · Views: 31
  • FB_IMG_1736493312443.jpg
    FB_IMG_1736493312443.jpg
    67.2 KB · Views: 37
  • FB_IMG_1736493302920.jpg
    FB_IMG_1736493302920.jpg
    83.2 KB · Views: 33
  • FB_IMG_1736493305954.jpg
    FB_IMG_1736493305954.jpg
    77.2 KB · Views: 26
  • VID-20250613-WA0063.mp4
    10.5 MB
  • IMG_20250624_205245.jpg
    IMG_20250624_205245.jpg
    154.9 KB · Views: 39
  • VID-20250618-WA0001.mp4
    7.9 MB
  • IMG-20250618-WA0000.jpg
    IMG-20250618-WA0000.jpg
    99.2 KB · Views: 36
  • FB_IMG_1740103346911.jpg
    FB_IMG_1740103346911.jpg
    65.9 KB · Views: 33
Eneo lenye kichanga jenga mashimo ya kisasa.....Yanapunguza gharama mno tofauti na mashimo ya zamani! Yanachukua eneo dogo tofauti na mashimo ya zamani! Yanatunzika kirahisi kuliko mashimo ya zamani kama maji ya jikoni na bafuni na shower zote utayaelekeza kwenye shimo la mawe!

Kwa ujenzi wa mashimo ya kisasa na Ya zamani! Karibu nikuhudumie!

0789005562

Wiki hii nina offer!
Gharama zenu zikoje kwenye ujenzi huu?

Nataka badili chemba ilikua inakaa familia ila Sasa nimeweka wapangaji shimo linajaa Kila mwaka navuta
 
Mambo vipi wakuu, Nipeni ushauri nimefikia hatua ya kujenga karo la choo.

Je ni Shimo lipi linafaa kwenye ardhi ya Udongo wa kichanga (SAND SOIL) kati ya Lile la kisasa lisilojaa ama yaja yetu ya kawaida.

Kuna Uzi humu (MODERATORS NAOMBA MUUSHUKIZE) Ulikua inaongelea hasara za mashimo ya kisasa kwamba ukikosea utaingia gharama mara mbili and soo
Pia soma Mfumo huu wa utengenezaji wa shimo la choo una changamoto/faida gani?
View attachment 3396387
Usasa wake ni upi hapa,,Mana linatumia the same methodology ya soakaway pit / pit latrine...

Nafkiri hizi lugha za biashara ndiyo zina wazuzua watu.
 
Back
Top Bottom