Nipeni ushauri juu ya huyu mke wangu...

Nipeni ushauri juu ya huyu mke wangu...

Yaani asilimia kubwa ya wanawake nyakati hizi hawajui kukataa kabisa, inabidi tu tuendane na mazingira hakuna namna, sema usiue mkuu , kama wanawake wapo wengi tu , pia tusipende kuwajaribu wake zetu ,hawa wanawake wa sasa wanamapungufu mengi sana

Daaah
 
Kajifiche hapo msamvu Jumapili ili uone anavyohangaika kumtafuta mtomba.ji akimkosa ataenda nyumbani kwenu. Hapo mbane kwanini karudi Jumapili na siyo Jumatatu na kwanini hakukutaarifu kuhusu kurudi Jumapili?

Shukran sana bro ila nadhani nitaenda kuua
 
Sasa utaua nini au nani wakati yote yanakuhusu wewe. Nenda jpili usije ukamfanya akalala nje. Akikasirika ajiulize kwa nini hana uaminifu na ukweli.

Mimi naua Jpili nikimuona yuko na mwanaume hakika mwingine akinikosa mimi
 
Ulichofanya hapo ni utoto na huenda huna kazinza msingi za kukufanya kuwa occupied.

Unachukua namba nyingine umtongoze wife, unatafuta nini? Unamjaribu binadamu huyu wa nyama au wa chuma?

Wanasema hata Yesu kidogo tu shetani ampatie alipomwambia ageuze jiwe liwe mkate ale coz alikuwa na njaa sana.
 
Mkuu njoo tufanye mchezo mmoja yan hiyo jpil twende wote na Mimi alaf mm ndo nijidai ni mwenye hiyo namba alaf niache niingie nae gest baada ya lisaa limoja njoo utufumanie mimi nitajidai sikujui nitakimbia alaf nitakuacha umalizane nae ukiwa ushahid umekamilika
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
Tuliza akili. Fikiria pia kuwa huenda mkeo amefahau ulichokifanya na amekutega tu. Biblia inatusihi kuishi na wanawake kwa akili na wala sio kwa shari.
.
.
Fikiria pia kuwa mkeo ameamua kujivinjari na mtu mwingine (wewe mwenyewe) aliyempigia simu moja tu akiwa safarini. Hii ni dalili kuwa kuna jambo halipo sawa katika mahusiano yenu. Badala ya kufikiria kumwadhibu kwa vyovyote tafakari kuhusu wewe kwanza.
 
Tuliza akili. Fikiria pia kuwa huenda mkeo amefahau ulichokifanya na amekutega tu. Biblia inatusihi kuishi na wanawake kwa akili na wala sio kwa shari.
.
.
Fikiria pia kuwa mkeo ameamua kujivinjari na mtu mwingine (wewe mwenyewe) aliyempigia simu moja tu akiwa safarini. Hii ni dalili kuwa kuna jambo halipo sawa katika mahusiano yenu. Badala ya kufikiria kumwadhibu kwa vyovyote tafakari kuhusu wewe kwanza.
Kweli.. labda jamaa anafanya shoo za kitoto
 
Nilichojifunza ni kwamba katika mapenzi ya siku hizi ukiwa kama mwanaume wewe timiza wajibu wako kisha tulia wala usimfuatilie mtu.Yaani timiza wajibu wako wa kumpenda mke wako au mchumba wako kwa nguvu zako zote kisha fanya maisha yako wala usimfuatilie mtu kwa sababu amani ya moyo huja kwa kutimiza wajibu.
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
Kama sio copy&paste hii basi unairudia tena
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee


Ni Id yako pia hii?
 
Nina uzoefu kidogo na haya majitu.Nakushauri usiende huko brother.Kaa kimya na ikiwezekana siku hiyo nenda sehemu za ibada au starehe,ila USIJE ukanywa pombe.Kama atarudi jumapili chukua tahadhari.Na kama atarudi j3 yupo makini.Usipende kumjaribu mwanamke,utakufa na kumbuka hujazaliwa naye
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
Kama hujajiandaa, bora umpigie tena kwa namba hiyo na ujitambulishe halafu muulize vipi bado utarudi jumapili au jumatatu ili yeye ndo abaki na hatia.
Kuchapiwa ni siri ya ndani, fanya sehemu yako acha kutafuta matatizo.
 
Back
Top Bottom