Nipeni ushauri juu ya huyu mke wangu...

Nipeni ushauri juu ya huyu mke wangu...

Huyo mkeo inaonekana watu wanajipigia tu!!

Embu Nipe Na Mim Namba ake
 
Mkuu njoo tufanye mchezo mmoja yan hiyo jpil twende wote na Mimi alaf mm ndo nijidai ni mwenye hiyo namba alaf niache niingie nae gest baada ya lisaa limoja njoo utufumanie mimi nitajidai sikujui nitakimbia alaf nitakuacha umalizane nae ukiwa ushahid umekamilika

Utabidi nawe niwe na wewe kwa Lisa ndipo watu waje wakukute uko na khanga moja
 
Tuliza akili. Fikiria pia kuwa huenda mkeo amefahau ulichokifanya na amekutega tu. Biblia inatusihi kuishi na wanawake kwa akili na wala sio kwa shari.
.
.
Fikiria pia kuwa mkeo ameamua kujivinjari na mtu mwingine (wewe mwenyewe) aliyempigia simu moja tu akiwa safarini. Hii ni dalili kuwa kuna jambo halipo sawa katika mahusiano yenu. Badala ya kufikiria kumwadhibu kwa vyovyote tafakari kuhusu wewe kwanza.

Wenda ila
 


Ni Id yako pia hii?

Ndio mkuu
 
Nina uzoefu kidogo na haya majitu.Nakushauri usiende huko brother.Kaa kimya na ikiwezekana siku hiyo nenda sehemu za ibada au starehe,ila USIJE ukanywa pombe.Kama atarudi jumapili chukua tahadhari.Na kama atarudi j3 yupo makini.Usipende kumjaribu mwanamke,utakufa na kumbuka hujazaliwa naye

 
Hamna haja ya kununua magunia ya mkaa..
Tafuta msela mwingine mpe mchongo mzima alafu akampokee hiyo Jumatatu huku wakiwa wameshapanga guest kabisa alafu wewe ukafumanie ghafla upate sababu ushahidi kabisa wa kuachana na hilo pepo.

Wengine wanaomba wapate sababu kama hiyo ili warudi kuwa mabachela 😂
 
Shukrani sana kwa ushauri wako ndg yangu, sasa nifanye nini maana jua NAMPENDA sana, ila kwa hili je? Nikikutana na Njemba nifanye nini? Or niandae Knife tu nimpeleke mtu kwa Sir God?
Kwa hiyo viben 10 mko wawili? Si umesema wewe binafsi umetumia namba tofauti kuwasiliana na mkeo?
Hivi Mimi ndio nachanganyikiwa au wewe umesahau ulichoandika?
 
Sio shida ila tambua kuwa ni mke wangu na me ndio ninampatia RAHA sio kama unaona me nalelewa tu, na utamu pia nampatia
HAKUNA UTAMU UNAOMPATIA ILA UNAJIPATIA, ILA KUNA WATU WANAMPATIA. KWA HAKIKA KILA JUU YA KILA MJUZI YUPO AJUAYE ZAIDI............ENDELEA KUJIFUNZA USIKARIRI MWAMBA.
 
Kajifiche hapo msamvu Jumapili ili uone anavyohangaika kumtafuta mtomba.ji akimkosa ataenda nyumbani kwenu. Hapo mbane kwanini karudi Jumapili na siyo Jumatatu na kwanini hakukutaarifu kuhusu kurudi Jumapili?
😂😂😂 mtoa maada chukua huu ushauri uufanyie kazi!! Nenda jpili jifiche mahali..daaah, haya maisha, sijui niendelee kuishi alone maana kuwa na mke ni stress, napo ukiwa alone usipojikontrol unaweza kuta unapiga piga mwisho wa siku ukaangukia pabaya..Daah
 
usisahau kutupa mrejesho hiyo jumapili kiongozi!! Yaliyojili huko msamvu
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
mkuu kwanza pole hapo hauna mtu ila kama una mpenda mvuilie tu na pia kama una watoto wemvumilie tu.
ila ingekuwa ni mimi ninge jianda natafuta na gest nalipa kabisa na hakikisha anafika hadi chumba cha egest house kisha natokea hapo tuna lala mpaka kesho. ila kuanzia hapo nitakuwa sina imani nae tena. maana hata home nahisi ukiwa naee bado atakuwa ana kuzunguka tu
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
Dahhh.... Nimecheka Sana😂😂😂😂😂
 
Kajifiche hapo msamvu Jumapili ili uone anavyohangaika kumtafuta mtomba.ji akimkosa ataenda nyumbani kwenu. Hapo mbane kwanini karudi Jumapili na siyo Jumatatu na kwanini hakukutaarifu kuhusu kurudi Jumapili?
mmchukulie gesti yani akifika stend amchukulie boda au bajaji amuelekeze gest ambayo amesha lipia na chumba tayari aingie ndani halafu yeye aje mwishoni ajiifanye amechelewa tu bahati mbaya
 
Back
Top Bottom