Nipeni ushauri juu ya huyu mke wangu...

Nipeni ushauri juu ya huyu mke wangu...

Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
tupe mrejesho
 
Shukrani sana kwa ushauri wako ndg yangu, sasa nifanye nini maana jua NAMPENDA sana, ila kwa hili je? Nikikutana na Njemba nifanye nini? Or niandae Knife tu nimpeleke mtu kwa Sir God?
Njemba Tena,!!!
Kwani simu hukumoigia wewe...
 
Mimi naua Jpili nikimuona yuko na mwanaume hakika mwingine akinikosa mimi
Mwanaume mwingine Ni wewe maana ndo ulimpigia, ukamtumia nauli aje jumapili.
Kwa hiyo hutaona mwanaume mwingine zaidi yako.
Ushauri:
Nenda jumapili mpokee, mpeleke nyumbani kwako maisha yaendelee.
Inatosha yeye kuona kwamba ameingia Chaka, maana alidhani amepata kumbe kapatikana, hili atalojutia na kamwe katika maisha yake hatakuwa Tena tayari kutongozwa kwenye simu.
Inatosha pia wee kuona umeingia Chaka, maana ulifikiri mkeo hatongozeki, kimbe ni maharage ya mbeya maji moja.
Kwa kifupi nyote wawili Ni wasanii, we utasema ulimjaribu ili uone Kama Ni mgumu kwa wanaume, karhalika naye atakwambia alijua kabisa Kama Ni wewe, ila alitaka akujaribu kama nawe Ni mdhaifu wa kutuma pesa kwa michepuko na kuwahi stendi kuipokea na kulala nayo.
Basi utakapokwenda jumapili utakapomwona just naye pia kakuona, Basi furahianeni, kumbatianeni, bisianeni maana ninyi nyote wasanii,
Basi maisha yanaendelea namna hiyo , na ndivyo ndoa nyingi zinavyodumu, sema tu wanandoa
Wengi wamefundishwa kupambana wenyewe na changamoto zao pasipo kukimbilia kuomba ushauri nje, maana Kila mtu anachangamoto yake katika ndoa, mshukuru Mungu angalau ya kwako ndo waijua leo!!!!
 
Mke wangu amesafiri kaenda kwao kusalimia, ni week ya pili sasa imepita tangu ameenda kwao.

Sasa nimetafuta number nyingine asieijua nimempigia nikamtongoza na akaniambia kuwa hayuko Morogoro, yuko mkoani nimtumie nauli akiwa anarudi nikampokee Msamvu Bus terminal, nimemtumia nauli kaniambia anarudi Jpili nikampokee Msamvu sasa.

Sasa nimempigia kwa number yangu anayoifaham nikamuliza lini anarudi kanaimbia anarudi Jtatu. Nimemuuliza kuhusu nauli kaniambia anayo, sasa sijui nikampokee Jpili or Jtatu kama alivyoniongopea, ili niepushe Kuua?

Au niende Jtatu na Msamvu na TALAKA yake? Naombeni ushauri maana naona huu mwaka unaonekana wa kumwaga DAMU tu aisee
Nipe namba yakenili mm nikampokee j2 alaf ww ukampokee j3
 
ukiua gereza linakusubiri....na ulivyo nyoronyoro unaenda kupekuliwa marinda.......upumbavu wako unakukost.....kwa nini ulimjaribu......kwa kifupi umeoa samaki changu.......a.
 
Mkeo akiwa kwako tu, akitoka tu nyumbani kwake ni mchepuko wa mtu.
 
Back
Top Bottom