Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,306
Una uhakika anauza bia pekee?
Sijawahi kuelewaga nyuzi zako,,,yani sijui hua unaharakia wapi ukiwa unaandikahaaa!! kila siku au leo tu ?
Haya 😌🙌🙌don't take me serious
naelewa ukiwa mzinzi, magonjwa yanakua shangazi yakoKijana kuwa Makini tu usipate GONO
otherwise POWER SELF Zitakuhusu
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
SawaNakuaga serious, Sehemu moja tu.
Ata hii paragraph moja umeandika nimeshindwa kukuelewa kbsaa dah.Kama kuna kitu cha kunienda,
kama sio vijiti basi ujue ni pesa.
ndio basi tenaAta hii paragraph moja umeandika nimeshindwa kukuelewa kbsaa dah.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Nakaziakwa huu muandiko huyo manzi amekuonea huruma
MwanziMwanzi yangu
Mtaenda kupigwa 3someSasa ninefika location hapa nakutana na mwamba tumejuana juzi juzi tu, kaniona tu Nimepigwa ofa za bia.. huyu jamaa anafanya kazi na bro angu.