Niko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.
Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k
Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumb-kama defensive mechanism nisiumie kivilee
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado
Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194
Acha wenge mwambie tu huna ila siku ukipata mtumie bila Ata yeye kuombeNiko na mahusiano na huyu binti kama mwezi hivi.
Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k
Lakini hali yangu sio poa,na nimeogopa kumwambia ukweli kuwa sina.
Kwa sababu nikimwambia ukweli kuwa sina nahisi tutakuwa tumefika mwisho
Sasa nimemuhaidi baadae lakini nafikiria kumb-kama defensive mechanism nisiumie kivilee
Sema nimejifunza kitu kuwa kwa hali yangu ya kiuchumi, uwezo wa kutoa hela kwa babies sinao bado
Sasa nawaza je, nitakuwa sahihiView attachment 2660194
Hahahhahhaha
Na hajawahi niomba hela
Leo ameniomba 25k
Hili wazo zuriiAcha wenge mwambie tu huna ila siku ukipata mtumie bila Ata yeye kuombe
Tia neno mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
maleEmbu tuambie jinsia yako
mambo Tu yameniendea vibaya mkuuKwani kutokuwa nayo ni dhambi?
Sema mwanaume unakosaje ki-25K aseee
Wazo zuriSipo vizuri kiuchumi kwa sasa.
Kama kuna uwezekano weka deni kisha tutalipa.