Nipeni dawa, Madaktari wameshindwa

Naumwa korodani yapata mwaka sasa.

Maumivu ninayoyasikia si ya kawaida..misuli ya mapaja inabana na sehemu ya tumbo chini ya kitovu inauma hadi najisikia kuchechemea wakati mwingine.

Nimehudhuria kwa madaktari wengi bingwa wa magonjwa ya zinaa lakini hauonekani ugonjwa wowote.

Nimefanya vipimo vya cancer...siumwi kitu.... Naombeni tiba mbadala nimekata tamaa.

jaribu kwenda kwa waganga wa kienyeji inawezekana ukawa umepigwa juju. USIDHARAU
 
Ninadawa za mitishamba zinazotibu matatzo hao kwa100%!nilisha kutana na wenye matatzo kama hayo wakatumia dawa wakapona!naomba unitafute nikutibu!kwa mda wa wiki tatu utakuwasafi kabisa.jitaid utumie dawa hilo tatzo ni kubwa.ila cha kukushauli uskate tamaa utapona.kwa mengi zaid nitafute.namba yang 0759217720
 
Naumwa korodani yapata
mwaka sasa.

Maumivu ninayoyasikia si ya kawaida..misuli ya mapaja inabana na sehemu
ya tumbo chini ya kitovu inauma hadi najisikia kuchechemea wakati
mwingine.

Nimehudhuria kwa madaktari wengi bingwa wa magonjwa ya zinaa lakini
hauonekani ugonjwa wowote.

Nimefanya vipimo vya cancer...siumwi kitu.... Naombeni tiba mbadala
nimekata tamaa.

hiyo inawezakana ikawa ngiri au nenda pale regency ukapate kipimo cha ultra sound ya kinena nadhan tatizo watalijua
 
wakuu samahani kwa usumbufu.....ila ningependa kupata ufafanuzi wa ugonjwa wa brucella kwa kua sijawahi kuusikia kabisa hadi pale nilipofanya general checkup ndo nikajikuta ninao huu ugonjwa na tena doctor akanambia yawezekana nilikua nao kwa zaidi ya miaka mitano ndipo akanipa dawa aina ya doxycycline na nyingine........sasa imepita mwaka mmoja ila nahisi umerudi tena kwa kua nahisi kuwashwa sana maeneo ya mgongoni kama mwanzo......ninaomba msaada juu ya madhara ya kiundani ya ugonjwa huu na pia jinsi ya kuuzuia kisha ndo nirudi hospitali kwa vipimo zaidi.....MBARIKIWE WAKUU
 
Mm nlikua viungo vyamwili vilikua vikiniuma na tumbo kukoroma na kujaa gesi japo sio mda wote, nimepima nimepatikani ameaba na brucella ila bado nahisi maumivu pamoja nakutumia dawa ,naombeni ushauri
 
Kun
Mm nlikua viungo vyamwili vilikua vikiniuma na tumbo kukoroma na kujaa gesi japo sio mda wote, nimepima nimepatikani ameaba na brucella ila bado nahisi maumivu pamoja nakutumia dawa ,naombeni ushauri
Kuna mdogo wangu anasumbuka ma bruccela mwaka was 3 huu.
 
Naumwa korodani yapata mwaka sasa.

Maumivu ninayoyasikia si ya kawaida..misuli ya mapaja inabana na sehemu ya tumbo chini ya kitovu inauma hadi najisikia kuchechemea wakati mwingine.

Nimehudhuria kwa madaktari wengi bingwa wa magonjwa ya zinaa lakini hauonekani ugonjwa wowote.

Nimefanya vipimo vya cancer...siumwi kitu.... Naombeni tiba mbadala nimekata tamaa.
Pole Kuna Aina flani ya mimea juis ukitumia huponya AINA NYINGI ZA ABNORMAL PAINS na ABNORMAL ENFECTION
 
Imekuwa kama bahati kuuona huu uzi japo kwa chelewa ila naamini nitapata ufumbuzi hapa.Mimi nasikia maumivu nje ya mfuko wa korodani Kuna kipindi maumivu yanapotea na kurudi sijui tatizo litakuwa ni nini hasa.
 
Zikishindikana zote tafuta watu imani ama uwombewe, kwa sisi wataalamu n mimi pia nimewahi kuumwa hilo ni tego la uchawi kuna mtu kakutegea, kama unafanya kazi kuna mtu anaitaka hiyo nafasi au kuna watu umewafanyia unoko kwa wameamua kukufanyia hivyo, kwa hata uwende ukapime India huwezi kuona.
Acha fikra duni wewe hakuna kitu kama hicho ulichosema kwani huo ni ugonjwa kama ugonjwa mwingine wowote. Wewe ndio wale ukiambiwa shangazi kakuloga unaamini na unakimbilia kwenda kumdhuru au kumtangaza, kumbe aliyekueleza hivyo alishaona wewe ni walewale wa 1800's
 
Hili hali imenitokea juzi usiku asubuhi nikaamka vizuri tu mi nikajua ni hali ya kawaida kumbe ni tatizo
Ila maumivu yake ni ya kawaida lakini si mchezo unatembea kama umetoka jando kwa wale tulioenda tukiwa tunajitambua
 
Mkuu hiyo Dawa unayompa inatibu maradhi ya ngozi sasa huyu mkuu God bell amesema haumwi maradhi ya ngozi mbona unashindwa kumuelewa jinsi alivyosema? Amesema kuwa anaumwa na korodani sasa wapi wapi korodani na maradhi ya ngozi? mbona unampa ushauri tofauti na hayo maradhi anayoumwa? Soma dawa uliyo towa maelezo yake hapa chini:

GENTAMICIN TOP USES

This medication is used to treat minor skin infections (such as impetigo, folliculitis) or minor infections related to some skin conditions (such as eczema, psoriasis, minor burns/cuts/wounds). Gentamicin works by stopping the

growth of certain bacteria. It belongs to a class of drugs known as aminoglycoside antibiotics.
Gentamicin cream is usually used for wet, oozing, greasy types of skin infections. Gentamicin ointment helps to


keep moisture in the skin, so it is usually used for dry types of skin infections.
This antibiotic only treats bacterial infections. It will not work for virus or fungus infections. Unnecessary use or overuse of any antibiotic can lead to its decreased effectiveness.


How to use gentamicin topThis medication is for use on the skin only.

Wash your hands before using. Clean and dry the affected area as directed. If you are treating impetigo, remove any dried, crusty skin to increase contact between the antibiotic and the infected area. Then gently apply a small

amount of medication in a thin layer as directed by your doctor, usually 3 to 4 times a day. You may cover the area with a sterile gauze bandage if so directed. Keep the infected area clean. Wash your hands after use, unless you are using this product to treat the hands.

Avoid getting this medication in your eyes, nose, or mouth. If this occurs, wipe off the medication and rinse thoroughly with water.

Dosage and length of treatment is based on your medical condition and response to treatment.
Use this medication regularly to get the most benefit from it. To help you remember, use it at the same times each


day. Do not apply large amounts of this medication, use it more often, or use it for longer than prescribed. Your condition will not improve any faster, and your risk of side effects may increase.

Continue to use this medication for the full length of treatment prescribed, even if symptoms disappear after a few days. Stopping the medication too early may allow bacteria to continue to grow, which may result in a return of the infection.

Tell your doctor if your skin infection persists or if it worsens. Source. http://www.webmd.com/drugs/drug-75145-gentamicin+top.aspx
Labda nielezee kidogo.
Gentamycin ni dawa ambayo ipo kwenye forms mbalimbali.
Kun injectionsambayo inachomwa kwenye msuli ama mshipa wa damu na kuna topicals zinazopakwa kwenye ngozi.
Na kuna zinazodondoshewa kwenye macho na masikio kama matibabu dhidi ya bacterial infections.
 
Mzizi mkavu dawa zako zinapatikana kwenye maduka ya kisunah au? Kama zinapatikana sio mbaya ukaziorodhesha hapa tuwe tunazitafuta tunapokua na shida
Dawa zangu zipo zinazo patikana katika maduka ya dawa za kisuna na zipo zingine zinatoka nje ya Tanzania.
Sitoweza kukutajia majina ya dawa zangu lakini nitakuonyesha picha tu kam una maarifa unaweza kuzijuwa haya angalia hapo picha za dawa zangu ninazo tibu kwa watu.



.
HEALING SPICES AND HERBS.jpg


14 Healing Spices For Greater Health
Just like herbs, most spices go together. You almost can’t go wrong, and it’s the perfect way to use your intuition and your senses as you create your own recipes.

Allspice is wonderful in just about any recipe, as it’s a flavorful and high-antioxidant spice. It’s helpful for menopause and high blood pressure and contains more than 24 healing compounds.

Caraway seeds are great for digestion, constipation, acid reflux, and regulating cholesterol.

Cardamom helps with asthma, constipation, bad breath, and indigestion, and has been shown to lower blood pressure and histamine.

Cinnamon is anti-inflammatory, helps promote healthy bacteria in your gut (those good guys that help you digest and assimilate your food), and keeps your blood sugar stable (which helps give you willpower!). It can also help with heart health and can prevent diabetes.

Clove is great for your teeth and gums, helps fight bad bacteria like H. pylori (responsible for ulcers), and can inhibit viruses like herpes and hepatitis C.

Coriander helps regulate digestion, bloating, cholesterol levels, blood pressure, skin issues (such as rosacea or eczema), and vaginal yeast infections.

Cumin has beneficial properties for cancer, epilepsy, type 2 diabetes, and bone health.

Fennel can help with arthritis, calms cramps (including menstrual cramps) and colic, and is a powerful digestive aid and anti-inflammatory.

Fenugreek has been found to help with weight loss, improved moods, blood sugar balance, cataracts, kidney stones, and gallstones. It can also help prevent or reverse non-alcoholic fatty liver disease.

Ginger is an anti-inflammatory spice that can help with arthritis, nausea, morning sickness, and migraines. It is also amazing for your digestion.

Nutmeg can protect your skin from wrinkles due to the breakdown of elastin in the skin and skin-damaging ultraviolet (UV) rays, provides anti-anxiety and anti-depression benefits, and inhibits the viral cause of diarrhea.

Paprika helps with indigestion, cardiovascular health, and circulation; is antibacterial and anti-inflammatory; and contains vitamins A, E, K, and C.

Saffron has been shown to help with mood issues (such as depression or anxiety), insomnia, blood pressure, menstrual cramps, multiple sclerosis, Parkinson’s disease, memory issues, and erectile dysfunction.

Turmeric is wonderful as an anti-inflammatory spice if you’re experiencing arthritis, swelling, or inflammation around your menstrual period, or any other autoimmune-type symptoms. Incidentally, it’s wonderful for your skin and a natural anti-wrinkle remedy. It can also protect against radiation from the sun or x-rays. Be sure to pair with black pepper to activate turmeric’s healing properties.

Treat yourself to some well-loved staple herbs and spices. Use your intuition. When you open your spice cabinet, allow your intuition to guide you to the herbs and spices you feel most drawn to. Sometimes, without even knowing why, you’ll pick spices with exactly the medicinal qualities your body needs. Use the herbs and spices in our recipes and notice how they taste. Start small. If you only put in a little of an herb or spice, like 1⁄8 tsp., you almost can’t go wrong. If you’re not sure, take 1⁄8 tsp. and put it in the food, mix it up, and taste. If you like it, add another 1⁄8 tsp. and go from there.

Try things out; experiment. Heather and I often found during the writing of The Bone Broth Secretthat things we thought were big mistakes turned out to be the best-tasting recipes ever. If you’re afraid to make mistakes, you’ll miss out on all the fun you could have, and if you are new to bone broth recipes start out small with the basics from The Bone Broth Secret.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom