Nipe uzoefu wako kuhusu Songea/Ruvuma

Nipe uzoefu wako kuhusu Songea/Ruvuma

mtingi1

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2020
Posts
991
Reaction score
986
Wakuu heri ya jumapili,
Kwa mara ya kwanza nimefika mkoa wa Ruvuma aka Songea.

Naomba kujua maeneo muhimu nifike ili nisijilaumu nikiyajua baada ya kurudi nilikotoka!

Hayo tu wakuu, natanguliza shukrani za dating.

Uzi tayari
 
La Charlz, ni club na pub kubwa na maarufu iko majengo karibu na lamoly.

Chantaburi ni club na pub kubwa na maarufu tena mpya iko Bombambili.

Ruhuwiko Hunt Club, hii ni ya 3⭐ iko Ruhuwiko, ni sehemu maalumu ya watu wa heshima, maarufu na maalumu.

Bwawani, hii ni sehemu ya starehe kwa rika zote, iko Namanditi njia ya Mbinga.

Na kadhalika.
 
La Charlz, ni club na pub kubwa na maarufu iko majengo karibu na lamoly.

Chantaburi ni club na pub kubwa na maarufu tena mpya iko Bombambili.

Ruhuwiko Hunt Club, hii ni ya 3⭐ iko Ruhuwiko, ni sehemu maalumu ya watu wa heshima, maarufu na maalumu.

Bwawani, hii ni sehemu ya starehe kwa rika zote, iko Namanditi njia ya Mbinga.

Na kadhalika.
Umetaja maeneo ya bata tu, sasa experience haishii kwenye mvinyo nba kuku tu.

kuna maeneo ya kihistoria, hifadhi za asili au kale, utamaduni au fursa za kibiashara.
 
Umetaja maeneo ya bata tu, sasa experience haishii kwenye mvinyo nba kuku tu.

kuna maeneo ya kihistoria, hifadhi za asili au kale, utamaduni au fursa za kibiashara.
Uwanja wa maji maji, huu ni uwanja wa kihistoria, unapatikana mjini kati.

Mashujaa, hapo ni kuna kumbu kumbu ya wapiganaji wa zamani, makaburi yao na baadhi ya silaha walizotumia, eneo ni hapo Mahenge.

Soko kuu, hili linapatikana mjini kati.
Soko la bombambili,
Soko la mazao, linapatikana msamala.
Soko la samaki na dagaa, linapatikana mfaranyaki.

Peramiho mission hospital na seminari kuu,
Ni vyanzo vikuu vya tiba na Elimu kwa wamisionari wakiwa hapa enzi hizo, zinapatikana Peramiho, nje kidogo ya mji wa Songea

Maliasili, hapa kuna hifadhi ndogo ya wanyama, imeanzishwa km miaka 3 nyuma, linapatikana Mtaa wa Mkuzo.

Etc.
 
Uwanja wa maji maji, huu ni uwanja wa kihistoria, unapatikana mjini kati.

Mashujaa, hapo ni kuna kumbu kumbu ya wapiganaji wa zamani, makaburi yao na baadhi ya silaha walizotumia, eneo ni hapo Mahenge.

Soko kuu, hili linapatikana mjini kati.
Soko la bombambili,
Soko la mazao, linapatikana msamala.
Soko la samaki na dagaa, linapatikana mfaranyaki.

Peramiho mission hospital na seminari kuu,
Ni vyanzo vikuu vya tiba na Elimu kwa wamisionari wakiwa hapa enzi hizo, zinapatikana Peramiho, nje kidogo ya mji wa Songea

Maliasili, hapa kuna hifadhi ndogo ya wanyama, imeanzishwa km miaka 3 nyuma, linapatikana Mtaa wa Mkuzo.

Etc.
Unatokea mkoa wa Ruvuma?
 
Uwanja wa maji maji, huu ni uwanja wa kihistoria, unapatikana mjini kati.

Mashujaa, hapo ni kuna kumbu kumbu ya wapiganaji wa zamani, makaburi yao na baadhi ya silaha walizotumia, eneo ni hapo Mahenge.

Soko kuu, hili linapatikana mjini kati.
Soko la bombambili,
Soko la mazao, linapatikana msamala.
Soko la samaki na dagaa, linapatikana mfaranyaki.

Peramiho mission hospital na seminari kuu,
Ni vyanzo vikuu vya tiba na Elimu kwa wamisionari wakiwa hapa enzi hizo, zinapatikana Peramiho, nje kidogo ya mji wa Songea

Maliasili, hapa kuna hifadhi ndogo ya wanyama, imeanzishwa km miaka 3 nyuma, linapatikana Mtaa wa Mkuzo.

Etc.
ewaa hapa ni 🔥🔥
 
Uwanja wa maji maji, huu ni uwanja wa kihistoria, unapatikana mjini kati.

Mashujaa, hapo ni kuna kumbu kumbu ya wapiganaji wa zamani, makaburi yao na baadhi ya silaha walizotumia, eneo ni hapo Mahenge.

Soko kuu, hili linapatikana mjini kati.
Soko la bombambili,
Soko la mazao, linapatikana msamala.
Soko la samaki na dagaa, linapatikana mfaranyaki.

Peramiho mission hospital na seminari kuu,
Ni vyanzo vikuu vya tiba na Elimu kwa wamisionari wakiwa hapa enzi hizo, zinapatikana Peramiho, nje kidogo ya mji wa Songea

Maliasili, hapa kuna hifadhi ndogo ya wanyama, imeanzishwa km miaka 3 nyuma, linapatikana Mtaa wa Mkuzo.

Etc.
Hapo mkuzo ukienda unatembea Hadi unakoma kutafuta hao wanyama🙌
 
La Charlz, ni club na pub kubwa na maarufu iko majengo karibu na lamoly.

Chantaburi ni club na pub kubwa na maarufu tena mpya iko Bombambili.

Ruhuwiko Hunt Club, hii ni ya 3⭐ iko Ruhuwiko, ni sehemu maalumu ya watu wa heshima, maarufu na maalumu.

Bwawani, hii ni sehemu ya starehe kwa rika zote, iko Namanditi njia ya Mbinga.

Na kadhalika.
Duuh viwanja vyote hivyo ongeza vingine
 
La Charlz, ni club na pub kubwa na maarufu iko majengo karibu na lamoly.

Chantaburi ni club na pub kubwa na maarufu tena mpya iko Bombambili.

Ruhuwiko Hunt Club, hii ni ya 3⭐ iko Ruhuwiko, ni sehemu maalumu ya watu wa heshima, maarufu na maalumu.

Bwawani, hii ni sehemu ya starehe kwa rika zote, iko Namanditi njia ya Mbinga.

Na kadhalika.
Ipo Songea pazuri - Mfaranyaki, Virginia-Mararawe na Triple 7 -Msamala hivyo viwanja vya Bata mengine aseme anataka nini aelekezwe
 
Duuh viwanja vyote hivyo ongeza vingine
Tripple 7, iko msamala.
Virginia, iko matarawe
Ndungunya iko Msamala

Kwa Disi, hapa ni maarufu kwa kitimoto na nyama choma.

Delight Garden park, ni cafeteria na restaurant, linapatikana mkabala na hospital ya mkoa.

Krista park, cafeteria na restaurant, inapatikana nyuma ya makao makuu ya TANESCO mkoa.

Himo Garden, restaurant na cafeteria linapatikana mkabala na Krista park.

Etc
 
Tripple 7, iko msamala.
Virginia, iko matarawe
Ndungunya iko Msamala

Kwa Disi, hapa ni maarufu kwa kitimoto na nyama choma.

Delight Garden park, ni cafeteria na restaurant, linapatikana mkabala na hospital ya mkoa.

Krista park, cafeteria na restaurant, inapatikana nyuma ya makao makuu ya TANESCO mkoa.

Himo Garden, restaurant na cafeteria linapatikana mkabala na Krista park.

Etc
Na hapo wapi nawapata Watoto wazuri? Hata Yesu alisema waacheni Watoto wazuri waje kwangu.. nipe uelekeo mkuu
 
Back
Top Bottom